Makapuku Forum

Makapuku Forum

Na kweli sanchez alimbeba

Sasa mechi inayofuata tusikie Man- U kafungwa, mtu atuletee ALFULELA ULELA Hekaya za Abunuasi eti Kalimakenge alikataa kwenda Shule ESOPO, hata wakitoa drooo tu, kamata Lukaku fyeka, Pogba fyeka, Sanchez fyekeleaa mbali,

Na hawa kina Lingard sukuma bench, Matial sukumilia na mashabiki woote wanaoshangilia na kuchezaa chikichichiki wakiongozwa na Shunie sukuma ndani, na kama kuna wengine wanabet Man u itafungwa sukuma ndaniiii.....
man u hamna kitu mule " lile ni gari la mkaa .. kama sio walking dead
 
Haya sasa kazi kwenu
Screenshot_20181008-204155.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom