Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaa basi nimeacha mkuu
Heshima kwako president bitoz bila kumsahau vice president jimena na prime minister th name heshima kwenu wakuu
Bila kuwasahau makapuku wote humu heshima kwenu
Isijekuwa umetoa heshima zoooote ukasahau ya kwako mkuu! Unajua hata kwenye kugawavisheti ni lazima mgawaji naye ajibakishie!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom