Makapuku Forum

Jamani najiona mm daah
 
Ameeen
 
Hivyo vijembe huwa unaweka wapi shosti mbona sivionagi? Kila mmoja ana matatizo usione tunatype hivi tuna mengi sana,unakuta mtu anatype na kuchat kwa furaha kumbe hali halisi analia basi tu ili kufurahisha marafiki wa mtandaoni anatype tofauti na hali halisi huko alipo.
Jamani najiona mm daah
 
Hapana sio vijembe kipenzi kuhusu kulia yaani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…