Makapuku Forum

Makapuku Forum

...safi sana, sasa unaruhusiwa kuwaita na wanakapuku wengine nao waje washeherekee ubosi wangu kwa kunywa na kula kwa kadri mifuko na roho zao zitakavyowabariki. tafadhari washirikishe Tumosa huyu anywe soda tu, sidhani kama anaweza kuhimili safari lager, Transcend kunywa monde mkuu, mtu chake kamata kilaji, shululu punguza safari kula kilaji, Thad wewe mgeni lakini umenivutia ila nakuona kama sio mtu wa monde, sasa wewe kamatia kinywaji cha fursana kunywa tani yako. Da'Vinci wewe nawe kamata vimto, usinywe stonetangawizi, dingimtoto kula fanta, Mndali ndanyelakakomu wewe nakuona kama mlevi wa kawaida unayeogopa kulipa kodi na kusaidia maendeleo ya nchi, kamata maji makubwa ya uhai.

Ankooo, nakuita ndugu yangu wa ukweli Lyon Lee wewe kula mayi kama mamba na kamatia muhudumu kama ulivyofanya kwenye Maulid ulipokuja kunitembelea Ruangwa, ABJ wewe bado mwanafunzi ila leo ruksa kula maji, aunt yangu sasa Shunie huyu Kapwil anaonekana haelewi kwa uharaka sasa kula Heinneken asipoelewa mtukane matusi ya nguoni ila Numbisa asisikie maana anaonekana mtu wa dini sana, sasa hapa akija SHIMBA YA BUYENZE patapendeza maana atatoa ofa kama yangu kwamba kila mtu anywe kwa hela yake.

Jamani wadau wikend hii tuwe makini na tabasamu ni kila kitu unachohitaji kuifanya wikend yako kuwa nzuri
 
ABJ akupe hata no ya gari sio kwa kutaka no yake hivyo
...salamu zimefika usikonde, tena bila kuchelewa, labda na huyu ABJ akija atakuja na namba niliyomuomba. Umefanya vizuri kumuita.

Kuna mdau anaitwa Numbisa anashusha nondo za maana, pita usome, mimi siwezi kuzisoma saa hizi maana nakula vyombo hapa na kuburudika na sebene
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom