Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Marekani imeliwekea vikwazo jeshi la China kufuatia hatua zake za kununua ndege za jeshi kutoka Urusi pamoja na makombora ya kurushwa kutoka ardhini.
Inasema ununuzi kama huo unakiuka vikwazo vya Marekani dhidi ya Urusi kujibu, tabia za Urusi nchini Ukraine na madai ya kuingilia kati uchaguzi wa Marekani.
Majuzi China ilinunua ndege 10 za Sukhoi Su-35 na makombora ya S-400.
China haijajiunga kwenye vikwazo ilivyowekewa Urusi kutoka Marekani na washirika wake tangu mwaka 2014
Inasema ununuzi kama huo unakiuka vikwazo vya Marekani dhidi ya Urusi kujibu, tabia za Urusi nchini Ukraine na madai ya kuingilia kati uchaguzi wa Marekani.
Majuzi China ilinunua ndege 10 za Sukhoi Su-35 na makombora ya S-400.
China haijajiunga kwenye vikwazo ilivyowekewa Urusi kutoka Marekani na washirika wake tangu mwaka 2014




