Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Sasa kwa nn upo single
Hmm ila ...... Kweli kabisa,
Hmm ila ...... Kweli kabisa,
Hahaha!! Ila bora awe kimoja anaweza kuliko kila idara 0%Namuonea huruma sana atapata tabu
Mm nahusika nn hapoAsante shem wangu nimefurahi kukuona ujumbe wako napata sana ubarikiwe mnoo jamani

Daah!hayo mambo me yamenishinda kudekeza mtu sijuiHahhaha nawaza tu mkewe atakavyokuwa anadeka
Asipojua kupika kitandani na mengineyo anaweza kuwa vizuriHahaha!! Ila bora awe kimoja anaweza kuliko kila idara 0%
Mm nahusika nn hapo![]()
![]()
Daah!hayo mambo me yamenishinda kudekeza mtu sijui
Nimepumzika kwanzaSasa kwa nn upo single
Siwezi kuacha kushabikia man u mm
Nipo shemeji, za wewe!?..Shemejiii bahili upo
Hilo halipingiki atapikiwa chochoteKuhusu kumpikia akiwa anaumwa lazima utampikia we ni kabila gani eti
mxxieew zako huna bibi uko kwenu nitakusimulia tukiwa kitandani mjukuu wangu

ila kuita bibi kumbe kuna rahaa!!..Basi utampikia maana ukimkunja akikauka atavunjikaWahenga walisema
Samaki mkunje angali mbichi
Hii methali ina maana sana ujue

Unamsumbua bibi yangu sio!?..
![]()
![]()
![]()
kunani huko