Lipo
Hebu nipe box lako nikujazie box!..
Yaan numbii majuzi kati usiku habari na hoja nimekuta story ya nyoka black mamba sijui mtu anamtaka si nikafungua uzi kusoma nakuta mapicha nilipataje shida usiku kutaka kwenda kukojoa jamani nahisi nikishusha mguu huyo hapo ananitambaa nipo kitandani naogopa kiumbe nakiogopa kuliko chochote
Hahahahahahahahaha!...hongera sana basi utakuwa hujui kuhonga kabisa, pole sana
Ubarikiweee sana
Yaan hata sijui nimeenda kwenye chat nakuta chat ndefu ila nahisi haujanitumia jamaniHv sikukupa kweli
Nakuonaa kabisaaa View attachment 866394
mwanaume ndo mshindi!.. Malcom Lumumba ataelewa!Mshindi mwanamke hapo
PM kumbe zipo nazo!?..😉Za pm baby daddy
Yaan hata sijui nimeenda kwenye chat nakuta chat ndefu ila nahisi haujanitumia jamani
Npe no yke ya simu nimpigieKweli mke mwee nitafutie jamani ba mkwe wangu mm nimemmiss
Aisez ningekuwa napata tabu sana usiku nikilalaBaasi kwenye uzi wetu kule kuna kipindi wanajaa,mpaka nshazoea hizo picha
Mbele ya urembo na kwenda na wakati utaweza tu,just imagine umepanda hadhi ghafla upo na mashosti nyota tano,kwao kula ka sahan ka ndizi mbivu,hotelin kwa bei ya million moja si kitu lazima ujikaze uende nao sawa.Pale kati patamu
Uwiiiiii jamani jamani mm ni muoga naanzaje kuwekewa mwilini woiiiii nahisi kabla sijawekewa nimeshajikojolea
mwanaume ndo mshindi!.. Malcom Lumumba ataelewa!