Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,002
Jamani jamani we mzee nimecheka
Mbona ana makalio km nguzo za ghorofa langu hapa Bunju
Mbona ana makalio km nguzo za ghorofa langu hapa Bunju
enda kagoogle
Me nilijuaga we muislam kiukweliMakubwa haya halafu siku zote najuaga we mkristo
Me nilijuaga we muislam kiukweli
me mkristo ndiyo
Mm muislam we una utani na mm na maombi ninayoyaweka muislam gani anafanya hivyo kweli akutukanye hakuchagulii tusi ubarikiwe mama



hujanielewa jaman namaanisha kabla sijaanza kuona unaweka maombi hayo mweeMmmmmmhSawa mkristo unayeyajua hayo
Oooh mm mkristo damu kwa baba na mama tena mkristo wa dhehebu la kilutheri KKKT usharika wa ubungo plazahujanielewa jaman namaanisha kabla sijaanza kuona unaweka maombi hayo mwee
Mmmmmmh
Jamani haya nashukur kwa kunifahamishaOooh mm mkristo damu kwa baba na mama tena mkristo wa dhehebu la kilutheri KKKT usharika wa ubungo plaza


Nimeishi sana na waislam ndo maanaNdiwoooo umeyajuaje
@obeSalama mkuu umeamkaje
Tupo njian kuja kuona kababy....Hapo ni mtoko tosha wa sikukuu tu,ilikua nane nane hio ujue![]()
Nimeishi sana na waislam ndo maana
Hahaha wa nn sasa@obe
Tupo njian kuja kuona kababy....View attachment 866287