Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Yeah nilikua kwenye Phoenix bana!.. Akajipendekeza boda boda flani na mchina wake!🙂
Kesi za huyu mla wuuwuu unadhani ngumu basi!!?...










babu kasema upo kwenye maternity
Akhu sipo huko usimsikilize babu kijana mie nipo zangu napiga misamba huku majiniView attachment 865968





unatoka kanisani au unaenda
babu kasema upo kwenye maternity
Hapo ni mtoko tosha wa sikukuu tu,ilikua nane nane hio ujue![]()







mbavu zangu
Mbona ana makalio km nguzo za ghorofa langu hapa BunjuBabu bana ngumu kumuelewa,cheki alivyotokelezeaView attachment 866018
Sawakilugha chako.
MarhabaSijambo shkamoo
AkuuuSio mimi. labda kama unataka nikupeleke wewe
Haya sisyMarhaba
Akhu sipo huko usimsikilize babu kijana mie nipo zangu napiga misamba huku majiniView attachment 865968





Mbona ana makalio km nguzo za ghorofa langu hapa Bunju




Jamani babu umevaaje hivi![]()
mbavu zangu