Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Wife bhasi nakuomba sorry mbelee ya mzee huyuAbee![]()
Wife bhasi nakuomba sorry mbelee ya mzee huyuAbee![]()
Labda wakuchora ndo ulikuwa unabebishana naenaona wajitekenya huku wacheka mwenyewe"...wait nikutumie snap pm " uone tulivyobebana hapa
Nishajipangaaa hunie wake nakupenda mpaka ziwa nyasa liote nyasiiiiAsantee ila na wewe sikutaki labda ujipange upya
Na mm tena hunitak?
Asantee ila na wewe sikutaki labda ujipange upya
mke wangu " na wewe punguza masihara bwana " unamasihara mnoo ujue "... halafu umeniangusha mnoo yaani mimi wakunichanganya " na lijamaa lenye kitambi kama mcheza sumo " .? kweli ""??!!
....hapa ndio napokupendea " my luv wajua kudeka mixer utani kiasi".....daaahh Mungu anipe nini tena" zaidi ya wewe zawadi yangu
NdiyooNa mm tena hunitak?
Anajifanya mkongwe tu ila hana lolotee kazoeaa kubeba wa barabaran




BadoooWife bhasi nakuomba sorry mbelee ya mzee huyu
mimi aliniambia kuwa ana mzee " sasa sijui ndio wewe " tena akasema kuwa unakisukari na unatatizo la ukosefu wa nguvu za kiume "... sasa nilikuja mbio mbio kukuuliza ..lile tatizo lako la kimoja tu chali vipi " umeshapona au bado ".. kama vipi nikupatie dawa " naumia napo ona mume mwenza unateseka

Alafuu haya yalitokeaa kipind akount yangu anaitumia pacha wangu kivuruge wake shunieBadooo
Nkupendaaaa na ww unajuaa navokuzimikiaaaNdiyoo
Jamani dada wamenivuruga hao majamaa hapo
Wewe nawe ndo chanzo cha yote ulikuwa huna misimamo na mimi unaona sasa?kuanzia leo sikutaki

MhAlafuu haya yalitokeaa kipind akount yangu anaitumia pacha wangu kivuruge wake shunie
Dada tumosa nisaidie mweeNkupendaaaa na ww unajuaa navokuzimikiaaa
Ahaaa hayo utajua mwenyewe ndo nishakuacha hivooAlafuu haya yalitokeaa kipind akount yangu anaitumia pacha wangu kivuruge wake shunie
Tena bora umekuja