hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,297
- 80,155
mimi aliniambia kuwa ana mzee " sasa sijui ndio wewe " tena akasema kuwa unakisukari na unatatizo la ukosefu wa nguvu za kiume "... sasa nilikuja mbio mbio kukuuliza ..lile tatizo lako la kimoja tu chali vipi " umeshapona au bado ".. kama vipi nikupatie dawa " naumia napo ona mume mwenza unatesekaUongo wapiii uko wapiii? Au alipita kwa mzee make nimeona unasema ana mzee kabla ya kuja kwako ...