Makapuku Forum

Makapuku Forum

Uongo wapiii uko wapiii? Au alipita kwa mzee make nimeona unasema ana mzee kabla ya kuja kwako ...
mimi aliniambia kuwa ana mzee " sasa sijui ndio wewe " tena akasema kuwa unakisukari na unatatizo la ukosefu wa nguvu za kiume "... sasa nilikuja mbio mbio kukuuliza ..lile tatizo lako la kimoja tu chali vipi " umeshapona au bado ".. kama vipi nikupatie dawa " naumia napo ona mume mwenza unateseka
 
mimi aliniambia kuwa ana mzee " sasa sijui ndio wewe " tena akasema kuwa unakisukari na unatatizo la ukosefu wa nguvu za kiume "... sasa nilikuja mbio mbio kukuuliza ..lile tatizo lako la kimoja tu chali vipi " umeshapona au bado ".. kama vipi nikupatie dawa " naumia napo ona mume mwenza unateseka
Mzikii wangu anaujuaa.. lakin ww unayetegemeaa mitishamba lazma akuache kama ulivoachikaaa...huyo mama wa shokaa anatakaa kaziii yaan kojoooo baada ya kojoooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom