😀 Nimesikia mnakamsemo "Nakupenda kama yote" sasa hiyo yote sijui nini!?..
Asee,nilijua nini mm tu ndio sielewi hii km yote😀 Nimesikia mnakamsemo "Nakupenda kama yote" sasa hiyo yote sijui nini!?..
Wateja wako hao washauri kwanza wakapime afya za mioyo yao. Vinginevyo uwezekano wa kujikuta kwenye front page ya magazeti ya Shigongo ni mkubwaKuna MTU kaniletea hapa mzigo wa Congo Dust km kilo kadhaa hv ,vipi kn mdau nimtumie kwa bus acheze nao huko
Yaani weweeee. Siyo kwa lijimoto hiliHauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimoto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimoto wa makapuku hauzimiiiiiiiiiiiiiView attachment 860453
Sijui kama anaelewa sawasawa maana ya mtu mvivu
Ngoja waje wanaume wasiojiamini na nguvu zao
Hahhaha hao watatakuwa watoto na misemo yao muhenga mm na mambo hayo wapi na wapi
Dada bhana... eti unajifanya umesahau ule msemo binamu nyama ya hamu... au unamzuga shemeji Wick!!Ubinamu wa hamu kwa weekend pekee ndio upoje huo kaka chige
We! Mi Shunie dadangu huyo, ebo!! Ulaji wangu kwake sharti kwa hamu... hiyo bima yako mpelekee huyo huyo Malcom Lumumba-- mtafunaji wa kimya kimya!Unajua wewe na Malcom Lumumba nimewakatia bima hata mkila sitaumia mnaficha. Sio vile vitoto mtaa mzima ujue kamekula cha mtu.
We! Mi Shunie dadangu huyo, ebo!! Ulaji wangu kwake sharti kwa hamu... hiyo bima yako mpelekee huyo huyo Malcom Lumumba-- mtafunaji wa kimya kimya!
Dada bhana... eti unajifanya umesahau ule msemo binamu nyama ya hamu... au unamzuga shemeji Wick!!
Shiiiiii!! Sikukuli dada; au shangazi hayupo nije?!Kwahiyo kaka angu chige unataka kunikula