EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Utengano ni udhaifu.Asante mkuu, umoja ni nguvu.
Utengano ni udhaifu.Asante mkuu, umoja ni nguvu.
Nakuja mpenz!My love njoo tulale
Nakusubiri honey.Nakuja mpenz!
Poa kamandaHamna mbaya mkuu, hata nuru ili ionekana inahitaji giza liwepo, kwahyo waache wachaw wajitokeze ili wakikalishwa tuchukue marks
Okay babeNakusubiri honey.
Sina neno. Mimi ngoja nilale
Asante sana. Shemeji yako namwambia nae aje kulala
Thanks braza
Sina neno. Mimi ngoja nilale
Acha kunichekesha mimi nataka kulala
Asante sana. Shemeji yako namwambia nae aje kulala
Thanks braza
Pamoja sana kaka.Sina neno. Mimi ngoja nilale
Thanks braza
Pamoja sana kaka.Sina neno. Mimi ngoja nilale
Na kwako pia kaka.Usiku mwema familia...
Mkuu hongera umepiga hatua sana. Umeangusha mtu mbili. Igwee na motojuuNa kwako pia mkuu, japo umemuacha shem peke yake hapa
Baki kidogoNakuja mpenz!
MmhBaki kidogo
Mi Niko macho mkuu, hebu naomba upite kwenye huu uzi utupie likes mbili tatu, manake hujaonekana kabisa humuKuna aliye macho humu
Asante na kwako piaUsiku mwema familia...
duh!Mi Niko macho mkuu, hebu naomba upite kwenye huu uzi utupie likes mbili tatu, manake hujaonekana kabisa humu![]()
![]()
Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!
Wameniudhi sana leo kuunghanisha huo uzi
Unalipia hii JF au una hisa humu? Unaelewa maana ya chit chat mkuu? Acheni watu wafanye yao. Kuna majukwaa mengi yenye mambo ya maana mkuu. Nenda huko!kinachoendelea humu sijui makapuku; ni kile kinachoitwa
MATUMIZI MABAYA YA megabyte. maanake ukianza kusoma page after page hamna utakachoambualia. nonsense kabsa