Makapuku Forum

Makapuku Forum

wouzeeeeerrr wouzerrr. hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiii

tapatalk_1534529665683.gif
 
We mwenyewe ndio ulizingua, nilikuuliza nikutumie kwa njia gani ukabaki unambwera mbwera tu, nikikuambia uje kuchukua kigamboni hutaki pia, sasa ningefanyaje shunie akee, pesa yangu mwenyewe na bado inipe headache kweli mamii!!!
Nilikwambia nikutumie no pm umekataa ww unataka nizifate tu mwenyewe jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom