Kampuni ya Apple sasa hivi ina thamani ya zaidi ya dola trilioni 1 (Tshs. 2,281,000,000,000,000) ambapo imekuwa ndiyo kampuni ya kwanza Duniani kuwa na thamani kubwa ikifuatiwa na Microsoft, Google, na Amazon ambazo zote kwa sasa zina thamani ya zaidi ya dola milioni 800.
View attachment 859226