nimecheka uwiiih
My president Magufuli..
Nilikuwa napita nikaona hili li-komenti nilimepop up kwenye uzi..
Habari za humu?
My president Magufuli..
Nchi iko kwenye light tlack kabisaaaa! Watu wanafuraha kupita maelezo .
Wewe endelea kushikilia vitufe tuu.
Wananchi wako tuna furaha sanaa
Naona umekubali kuwa shangazi wa ABJ hadi mnacheka sasa.🤸🤸🤸🤸🤸🤸 tufanyeje sasa
Safi T habari za abroad naomba niletee zawadiSalamaa..
Habari za Tanzania?
Naona umekubali kuwa shangazi wa ABJ hadi mnacheka sasa.
Uhaba mkubwa wa mafuta umelikumba jiji la Nairobi Kenya.
Vituo vingi vya kuuza mafuta havina bidhaa hiyo muhimu.
Foleni zimeshuhudiwa nje ya vituo vichache ambavyo bado vinauza mafuta.
Uhaba huu umesababishwa na baadhi ya wasafirishaji mafuta ambao wamesusia mafuta baada ya serikali kuongeza tozo ya asilimia 16%. View attachment 858832
Tuna furaha mnooo...My president Magufuli..
Nchi iko kwenye light tlack kabisaaaa! Watu wanafuraha kupita maelezo .
Wewe endelea kushikilia vitufe tuu.
Wananchi wako tuna furaha sanaa
@MagufuliTuna furaha mnooo...na message imfikieeacha tufurahimaisha ndo hayahaya
Kasema umemkubalie etiSitakiii sio shangazi yake mm
Sawa mama D.Safi T habari za abroad naomba niletee zawadi
Tusalimie nairobi
Tuna furaha mnooo...na message imfikieeacha tufurahimaisha ndo hayahaya