Akudo impacto.. Wazee wa masauti.
Ndio wewe unapiga miayo hapo nje?...niko hapa nje nimekuona umeingia
Andrew sekedia!!!...hawa wanabaki kuwa jamaa ninaowakubali sana, kuna sebene lao moja linaitwa Musaada liko spotify utalipenda sana. Kinanda cha Sekedia na rapa ya ukweli Canal Top
Askari wa makondakta nini!?Tumosa nimerudi kupiga doria
Mlinzi mwenye zamu ya kulinda jukwaaAskari wa makondakta nini!?
Sawa kiongozi, lindo jema.Mlinzi mwenye zamu ya kulinda jukwaa
Sawa mkuuSawa kiongozi, lindo jema.
Ndio wewe unapiga miayo hapo nje?
Utalinda na alfapii
Hana lolote mkuu anataka kuzingwa tu huyu. Lindo gani na kibukta cha man united na baridi hili.....umekuja kulinda na bukta, kweli au unataka kufanya jogging?Hutuoni mimi, AlfaPii na makaveli10 tumepiga kombati na virungu
Chakula gani hakitiwi nyanya, kitungu n.k si chumvi wala mafuta...ndo madhara ya kula ugali usiku mjomba
Hana lolote mkuu anataka kuzingwa tu huyu. Lindo gani na kibukta cha man united na baridi hili..
Alfapii jikaze kidogo usiku uwe mchache kwako. Mie tena hapa ni hatua mosi, hatua pili kwenda kuegesha ubavu wangu
Mmh kuna joto sana ndomaana nimepigilia hivi......umekuja kulinda na bukta, kweli au unataka kufanya jogging?Hutuoni mimi, AlfaPii na makaveli10 tumepiga kombati na virungu
Anawatafutia watu dhahma tuuha hahhahaha, kibukta cha polyester na upepo wa usiku tukianza kukimbiza mwizi si kitapea
Hayo mapigo yako si salama kwa watiifu tunaosaka utukufu km sisi..
Sema kapuku muheshimikaMakapuku