Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,060
Eeh..sasa hivi?Jamani si nimeshafungulia nimeambiwa nikwambie uingie KT sasa hivi
Eeh..sasa hivi?Jamani si nimeshafungulia nimeambiwa nikwambie uingie KT sasa hivi
Ndio nendaEeh..sasa hivi?
Log out afu u-log in tena..Jamani sipati notification yoyote nahisi nitawaaga nipo kama kipofu
Aminaa!T ninafanya jitihada sana yaan sana mm mtu wa maombi nimeamua kufunga siku 7 Mungu anifanyie wepesi namwamini Mungu wangu sana hallelujah
Sitaki hata kwa kiinglish kwa nn toka mwanzo usiniite kwa kiinglish umeona nimekaa kishangazi shangazi na msiketi wangu mrefu niite shunie tu yatosha sana








nimecheka uwiiih eti na msketi wako mrefu hahaJamani pooole mwayaJamani sipati notification yoyote nahisi nitawaaga nipo kama kipofu
Shikamoo kaka ninge pole na majukumuHabari zenu ndugu zangu?? hope hamjambo poleni na majukumu ya kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko salama mkuu,,habari za hukoBinafsi sijambo mdau, uko vizuri?
Kuna jipya?
Log out afu u-log in tena..
It may work.
Mkushi mambo
Sijambo binamuMarhaba mama JJ , hujambo
Shikamoo kaka ninge pole na majukumu
Ni njema sana
He he natamani ingekuwa bongo wote tungekuwa kijijini kwa kina Tumosa ABJ ningendakoView attachment 851668


Hauwezi kukaa kijijin ww