Makapuku Forum

Makapuku Forum

Usijali Shunie

Ila unapaswa uwe na jitihada sasa, pale ambapo panahitaji nguvu na jitihada za kibinadamu lazima ufanye hivyo.

Mungu huwa anayoosha mkono pale penye jitihada na nia ya dhati.

Do not let any stone unturned..
T ninafanya jitihada sana yaan sana mm mtu wa maombi nimeamua kufunga siku 7 Mungu anifanyie wepesi namwamini Mungu wangu sana hallelujah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom