Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,061
Umemaliza ike kazi ya kupiga magoti..?Milele Amina T
Umemaliza ike kazi ya kupiga magoti..?Milele Amina T
Hahahaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Nilijua tuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eenh na WhatsApp kaniambia ulienda KT ukamquote kaniambia nikupe salaam zako sana anakumiss eti
Nimemaliza leo T Mungu ni mwema sanaUmemaliza ike kazi ya kupiga magoti..?
Woooyooooooooooooooooooooooo mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] mwendo wa kukulana tuHahahaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Nilijua tuu.
Mwambie nammiss zaidi eti..[emoji7]
Barikiwa sana aisee.Nimemaliza leo T Mungu ni mwema sana
Pole poleeeee basi...Woooyooooooooooooooooooooooo mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] mwendo wa kukulana tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sio ubaguzi jamani wote tungekuwa kijijini
Ndiyoo si upweke wa kukaa peke yako unatowekaHahhaha raha tena sababu mnafungwa wote
Barikiwa sana aisee.
I strongly believe that God is going to make it for you.
Just stay in his presence and Keep moving with the same attitude..[emoji123][emoji123]
Pole poleeeee basi...
Unafukuza upako wako ujue..[emoji23][emoji23]
Yaaani lazima mambo yafanye hivi [emoji818]Ameen ameen T [emoji120][emoji120][emoji120]
Yaaani lazima mambo yafanye hivi [emoji818]
Eeeh! Vipi tena!Weeeeh komaaa hivi hujaona wotee ukaniona mm ndio nafaa kuwa shangazi yako
Eeeh! Vipi tena!
Kama nakusikia akili mwangu ukitamka haya maneno.
Hahahahaha basi ngoja nikuitage kwa kiinglish aunt shunieWeeeeh komaaa hivi hujaona wotee ukaniona mm ndio nafaa kuwa shangazi yako
Usijali ShunieT Mungu afanye wepesi wake namwamini sana Mungu wangu
Sitaki hata kwa kiinglish kwa nn toka mwanzo usiniite kwa kiinglish umeona nimekaa kishangazi shangazi na msiketi wangu mrefu niite shunie tu yatosha sana
T ninafanya jitihada sana yaan sana mm mtu wa maombi nimeamua kufunga siku 7 Mungu anifanyie wepesi namwamini Mungu wangu sana hallelujahUsijali Shunie
Ila unapaswa uwe na jitihada sasa, pale ambapo panahitaji nguvu na jitihada za kibinadamu lazima ufanye hivyo.
Mungu huwa anayoosha mkono pale penye jitihada na nia ya dhati.
Do not let any stone unturned..