Makapuku Forum

Makapuku Forum

Zangu zinafeli labda nikiigilizia naweza toboa
Haya...

Mimi ni mfugaji...! Nafanya biashara ya kuuza nyama. Sasa nimetageti kipindi kama hiki from sept-Dec kaskakzini watu wanakula mbuzi kupita maelezo..nimeuza kidogo lakini sijafikia target yangu.

Plan B yangu sasa;

So sasa hivi naongeza mbuzi ambao wameshakuwa tayari kutoka kwa wafugaji ambao hawafanyi biashara.!

Nawatunza kwa mienzi si kama mitatu tuu ama miwili afu nawala bei.. Hela nayotegemea kupiga kwa miezi 3 itakuwa mara mbili ya niliyotengeza from jan-July..

Plan B zingine zinatokota pembeni huko..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom