Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Akuu unanisingizia mmHahaaaaaaaaaaaaa
Tumosa mpenda mihogo ya nyama!![]()
Akuu unanisingizia mmHahaaaaaaaaaaaaa
Tumosa mpenda mihogo ya nyama!![]()

UlizaaaNina swali wakuu..
Nimeshaaacha mada za kuliwa...Akuu unanisingizia mm
Kapuku forum.Linahusu nn,linaitwaje? Nyie ndio wale wale![]()
( utani)
101-03-821.M|T|C
Na vyuma vilivokaza sasaSio hilo mkuu.
Just one simple qn.
Kuna mtu amepanga kufanya kitu cha kimaendeleo kwa mwaka huu 2018 ...
Alafu hadi sasa hivi haoni dalili za kufanikiwa kufanyika kwa kile kitu?
Ijumaa ni august 30 kama sikosei...baada ya ijumaa zitakuwa zimebaki siku si chini ya 120.
Nini plan zako? Mwaka unakata hivyo?
We Cheka lkn km ujue Mr @,Lyon Lee anakuona
101-03-821.M|T|CBora aiseeeNimeshaaacha mada za kuliwa...
Nawaza plan B kabla ya mwaka kuisha now.
Plan B mama wawili...Na vyuma vilivokaza sasa
Usikuli kirahisi Tumo!Na vyuma vilivokaza sasa
Unataka mtoboe,awe Mama watatu?Plan B mama wawili...
Unafanyaje ili utoboe?
101-03-821.M|T|CMungu atusaidie kwa kweliUsikuli kirahisi Tumo!
Bado tuna siku zaidi ya 120 ...
Unaweza kufanya mabadiliko..
Tuengelee namna ya kutimiza malengokwanini Tumosa ?
Yale mengine mabaya eeh?Tuengelee namna ya kutimiza malengo
Toka nijiunge makapuku hii ndio point pekee nimeiona humu ,ingawa sijui ni malengo gani yanayotakiwa kutimizwaTuengelee namna ya kutimiza malengo
101-03-821.M|T|CSio mabaya TYale mengine mabaya eeh?