1. Nikijiaminisha unamaanisha hii hati ya kusafiria, basi gharama imepandishwa toka 50k hadi inasoma 150k
Hapo bado gharama za fomu ambazo ni kama 20k.
Tembelea web ya Uhamiaji wameifanya iwe poa sana
2. Kama unamaanisha hizi passport size bei yake ni tofauti tegemeana na studio. Hapa Mtwara unatoa 1k unapewa passport 6 kwa mpigo bahati mbaya hawakupi negative.