Sikunyimi chochote mkuuUnataka kuninyima nini sasa
E&K
Niko mkoani tena ArushaEbu ngoja kwanza tuanzie hapa unayokea wapi mkoani au dar
Basi achana na shikamooSikunyimi chochote mkuu
Basi shikamoo inakufaa wanaamkiwa wa mkoaniNiko mkoani tena Arusha
E&K
Ww hutaki shikamooBasi achana na shikamoo
Hizo shikamoo mpe ushimen
E&K
"Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu."
Methali 3: 24
Mungu awatunze usiku huu,Malaika walinzi waweke kituo kila nyumba,Damu Takatifu ya Yesu Kristo itufunike
Usiku Mwema
Arusha haina shikamooBasi shikamoo inakufaa wanaamkiwa wa mkoani
Mambo zangu ziko poa sijui mambo zako zikojeWw hutaki shikamoo
Mambo zako mkuu eddy
Hivi gharama ya kupata passport kwa sasa ni shilingi ngapi? Makapuku tujuzane