6: Zimbabwe ?5.Kwa mzee Trump ...
Marekani imepiga marufuku uagizaji wa nguo toka nchini Rwanda baada ya nchi ya Rwanda kupiga marufuku uingizaji wa mitumba toka Marekani.
Rais wa Marekani Donal Trump ametoa agizo la kupiga marufuku uondoaji wa ushuru kwa nguo zote zinazotoka Rwanda kwa miezi 6.
Napiga norindaaa huko6: Zimbabwe ?
HahahaNapiga norindaaa huko
Niaje mkuu2.mwendelezo wa maagizo kutoka kwa mh...
Siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola kumtaka Mbunge wa Kigoma Mjini zittokabwe kujisalimisha polisi akidaiwa kufanya mkutano nje ya jimbo lake na kutoa matamshi ya uchochezi, jeshi hilo limesema tayari limefungua jalada la uchunguzi kuhusiana na tuhuma hizo....
Mtaasisi vipMbona wamechukua muda mrefu sana kutujulisha, au hayo mafunzo yalikuwa ni ya siri sana na wairi hakupaswa kujua? Hii inasema nini (significance) je waziri kwa IGP ni mchumba tu? Maana yake ni kuwa waziri wa mambo ya ndani hana nguvu ya kumuamrisha IGP na hili lazima wengi mfahamu, IGP au CDF ni mawaziri juu ya mawaziri wanaoteuliwa.
Anko, siasa ngumu hii, Lugora anajua kabisa hana uwezo wa kumuamuru IGP
Alikuwa wapi, Asante kwa musicMuziki: Anko Karudi, Aunt Kawa DC
...ni Jumatano leo, kama ulikuwa hujui, kama hujamuona basi angalia hapo juu, huyu ndo anko wangu mwenyewe mzee nyumba nyingi na sifa zake nyingine nzuri zinajumuisha kulipa kodi kwa uhalali na hapo sasa ndo nakusalimia kapuku wewe unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Muziki sasa, hata sijui niandike nini kuhusu muziki, itoshe tu kukuacha uburudike na muziki huu
KIPI KIMEKUPITA LEO ??
1.Hobby kudesa class ???
Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa hakuna mbwa yoyote wa jeshi hilo aliyepotea kama ambavyo imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari, bali mbwa anayejulikana kwa jina la Hobby aliyedaiwa kupotea yupo kikosini akiendelea na majukumu yake na kipindi anatafutwa alikua class akiongeza maarifaView attachment 824573
..shukrani mdau, kwanza ulipotelea wapi kaka maana siku zimepita sio popote hapa huonekani hadi watu wakaanza kuzusha wewe ndo ulimchukua yule dog wa polisi (wataunganisha matukio, dog kaonekana na wewe umerudi? Ulimpeleka mafunzoni?Alikuwa wapi, Asante kwa musicbora kabisa
Muziki: Anko Karudi, Aunt Kawa DC
...ni Jumatano leo, kama ulikuwa hujui, kama hujamuona basi angalia hapo juu, huyu ndo anko wangu mwenyewe mzee nyumba nyingi na sifa zake nyingine nzuri zinajumuisha kulipa kodi kwa uhalali na hapo sasa ndo nakusalimia kapuku wewe unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Muziki sasa, hata sijui niandike nini kuhusu muziki, itoshe tu kukuacha uburudike na muziki huu
....wanasema hauzimi, nikagugo ndo niakjua sababu mtoto kashangaa kumbe hauzimi bhana 😀
6. Wanariadha kushangaa mataa Abuja ??
Zaidi ya wanariadha 300 wakiwemo wa Tanzania na Kenya na kutoka mataifa mengine ya Afrika wamekwama katika uwanja wa ndege wa Murtala Muhammad 2 mjini Lagos Nigeria.
Wanariadha hao walitarajiwa kushiriki kwenye mbio za riadha za Afrika zitakazoanza leo
View attachment 824587
Khaaa kwahiyo binamu ulielewa vipi
8.Wazee wa masifa aka wanamsimbazi maandalizi vipi vipi kule ??
Wekundu wa msimbazi wazee wa habari ya mjini homa ya town leo wametoshana nguvu na club waliyokuwa wanacheza nayo huku uturuki kwa bao moko kimoko na bahati nzuri wapinzani wao walifurahia kunyesha kwa mvua kubwa View attachment 824594