Asante moudgulf kwa picha nzuri za kuhamasisha utalii (na zaidi kushawishi kina sie kununua simu zenye kamera bora au kama vipi kununua kamera nzuri kama yangu, yeah, nina kamera Panasonc Lumix)
Asante SHAMMA kwa kuwepo hapa, Mgagaa na Upwa karibu, Slim5 ni jambo zuri kukuona hapa kila wakati
Tumosa mimi sijambo na ulisema kuna kitu utaniambia jioni, jioni imepita na usiku ndo huu hapa, bado kipo au kimepotea, asante kwa salamu.
Wadau wote najua mlikuwa na wikend nzuri.
Kuna jipya?
Asante mkuu,pole naweHumu nawasalimu sana na nawapa pole kwa uchovu wa ujenzi wa Tanzania Mpya
Poa kpenz za wwHabarini humu
Nimeshapoa ila bado MgongoAsante mkuu,pole nawe
Wazima sanaSalama kabisaa!wazimaa
shikamoo tena binamu
Aunt yko kaukwaa ukuu wa wilaya tuandae suti za kumsindikiza kuapishwa
Nmekumbuka zile suti zetu za yangeyange
Pole sanaNimeshapoa ila bado Mgongo
...me nilijua tu lazima uteuzi huu aunt yangu Shunie ale shavu la nguvu. Niliandaa kabisa suti na nimenunua na mkasini. Sasa mwambie asiwe anaigombeza bila sababu keshapata ubosi na alifanya vizuri kumpa talaka anko wangu
Shukrani kwako ngoja tushuhudie kama kijana atafanikiwa kumtoa mzee kwenye kiti alichokipata kwa mapinduzi ya kijeshi...kama ilivyo kawaida kwa nchi nyingi a kusini mwa Sahara, ZEC itatangaza matokeo ndani ya siku tano, maana yake Aug 4 watatangaza matokeo ya uraisi ila kwa nafasi nyingine za ubunge na udiwani hayo ni papo kwa papo.
FYI: Mbali ya nafasi ya urais, kuna nafasi 300+ za uwakilishi wa ngazi za ubunge na udiwani. Usisahau pia kuna utaratibu wa 'proportional representation'
Zaidi ya vyama 55 vinashiriki na MDC na Zanu-PF ndivyo nyenye nguvu zaidi.
Kuna wagombea 23 ngazi ya urais, wanaume 19 na wanawake 4.
Mshindi wa ngazi ya urais lazima apate asilimia 50+1 wasipopata utarudiwa
Ni mara ya kwanza waangalizi wa EU na Commonwealth wameruhusiwa kuangalia (observers)
Facts nyingi nimezitoa Aljazeera na Magazeti ya Zimbabwe
Shukrani kwako ngoja tushuhudie kama kijana atafanikiwa kumtoa mzee kwenye kiti alichokipata kwa mapinduzi ya kijeshi
Amen, God be with usTUOMBE:Baba Katika jina la Yesu Kristo asante kwa asubuhi mpya ya leo Jumanne Tarehe 31 Julai 2018 ..wako wengi walitamani kuiona leo hawajaweza Tunakushukuru,Tunakutukuza,Tunakuheshimu,Tunakusifu Mfalme wa Amani.Baba tunaomba Toba na tunawasamehe wote waliotukosea.
Tunajikabidhi siku ya leo uibariki,bariki kazi za mikono yetu.
Wabariki watoto wetu na wajukuu wetu wasimamie Afya zao za miili na Roho waponye Baba watie nguvu wapiganie katika kila eneo masomo,wapate kazi,wapate wenza,wapate Amani na wakujue wakupende na kukutii daima.
Imarisha mahusiano yetu Baba,Imarisha familia pawe mahali pa Amani na makimbilio kila iitwapo leo.
Wasimamie wagane,wajane,yatima wape faraja wafiwa wote wakutumainie.
Tunaomba Baba leta Amani katika taifa letu kila mtu aseme Ndiyo kwako Baba na hofu yako Mungu wetu itawale.kwa kila mmoja wetu na haki itendeke.Tunaomba Baba imarisha Upendo na kuchukuliana kila mmoja amuone mwenzake ni wa thamani.Asante Baba kwakuwa yote yataenda kuwa sawa na mapenzi yako tunaomba yote katika jina la Yesu Kristo Amen.
JUMANNE NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO KINGA YETU ITUFUNIKE
UbarikiweAsante moudgulf kwa picha nzuri za kuhamasisha utalii (na zaidi kushawishi kina sie kununua simu zenye kamera bora au kama vipi kununua kamera nzuri kama yangu, yeah, nina kamera Panasonc Lumix)
Asante SHAMMA kwa kuwepo hapa, Mgagaa na Upwa karibu, Slim5 ni jambo zuri kukuona hapa kila wakati
Tumosa mimi sijambo na ulisema kuna kitu utaniambia jioni, jioni imepita na usiku ndo huu hapa, bado kipo au kimepotea, asante kwa salamu.
Wadau wote najua mlikuwa na wikend nzuri.
Kuna jipya?