Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Makapuku mko poa?
usinune mpenzi hebu tukae kule tupange maishaUmenipa go ahead ya kukununiabau nesoma vjbaya mm sa zile
Aya babe niko umeniachausinune mpenzi hebu tukae kule tupange maisha
Mwenzio anakutana na watu, anafanyakazi na watu, na ana socialize na watu, ukimfatilia kwa kila kauli anayoitoa kwa wengine utajipa pressure bure dada, haiwezekani awe kama mhubiri wa dini au mlokole kwamba yoyote atakae kutana nae amhubirie neno la Mungu tuuu mwanzo mwisho! Kama imetokea kuna neno kasema ukalisikia likakuudhi unamfinya kidogo tu mkononi au give him a soft slap shavuni aache au anyamaze na wala hakuna haja ya vikao au kesi kwa hilo
Maadhali anakupenda na wewe unathibitisha hilo basi dogo hilo Madame, take it easy dadaake,HE IS YOURS. Najua alichosema sio alichofanya....Hakuna kubwa la kuleta kesi dada
busara za kaka mtu

Kumekucha huko? Muda bado kbsAsubuhi njema wadau
aiseeeKila mtu na mnyonge wake,mnyonge zaidi ndo anaumiaView attachment 819269
Sijambo shemelasalama tu shemela
hujambo??
Morning shemelaMorning makapuku