Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Sesten Zakazaka nataka kukushtakia
Ningeshangaa msingemaliza wenyewe hili Madame, tena wala nisingeongea na shemeji ningeongea na wewe tu....mengine yaache yaapite. Wewe ndio starring jiaminiHahahahhahahaha muone
Unajua alichokifanya kaka??? Me kaniudhi nilimwambia sisemi kitu had uje ww kwanzaNingeshangaa msingemaliza wenyewe hili Madame, tena wala nisingeongea na shemeji ningeongea na wewe tu....mengine yaache yaapite. Wewe ndio starring jiamini
Mwenzio anakutana na watu, anafanyakazi na watu, na ana socialize na watu, ukimfatilia kwa kila kauli anayoitoa kwa wengine utajipa pressure bure dada, haiwezekani awe kama mhubiri wa dini au mlokole kwamba yoyote atakae kutana nae amhubirie neno la Mungu tuuu mwanzo mwisho! Kama imetokea kuna neno kasema ukalisikia likakuudhi unamfinya kidogo tu mkononi au give him a soft slap shavuni aache au anyamaze na wala hakuna haja ya vikao au kesi kwa hiloUnajua alichokifanya kaka??? Me kaniudhi nilimwambia sisemi kitu had uje ww kwanza
hahahhahaa kaka basi yaishe mekosea mmMwenzio anakutana na watu, anafanyakazi na watu, na ana socialize na watu, ukimfatilia kwa kila kauli anayoitoa kwa wengine utajipa pressure bure dada, haiwezekani awe kama mhubiri wa dini au mlokole kwamba yoyote atakae kutana nae amhubirie neno la Mungu tuuu mwanzo mwisho! Kama imetokea kuna neno kasema ukalisikia likakuudhi unamfinya kidogo tu mkononi au give him a soft slap shavuni aache au anyamaze na wala hakuna haja ya vikao au kesi kwa hilo
Maadhali anakupenda na wewe unathibitisha hilo basi dogo hilo Madame, take it easy dadaake,HE IS YOURS. Najua alichosema sio alichofanya....Hakuna kubwa la kuleta kesi dada
honeyWee babe
Nambie mpenzihoney
give me a soft slap bebMwenzio anakutana na watu, anafanyakazi na watu, na ana socialize na watu, ukimfatilia kwa kila kauli anayoitoa kwa wengine utajipa pressure bure dada, haiwezekani awe kama mhubiri wa dini au mlokole kwamba yoyote atakae kutana nae amhubirie neno la Mungu tuuu mwanzo mwisho! Kama imetokea kuna neno kasema ukalisikia likakuudhi unamfinya kidogo tu mkononi au give him a soft slap shavuni aache au anyamaze na wala hakuna haja ya vikao au kesi kwa hilo
Maadhali anakupenda na wewe unathibitisha hilo basi dogo hilo Madame, take it easy dadaake,HE IS YOURS. Najua alichosema sio alichofanya....Hakuna kubwa la kuleta kesi dada
ikawaje ukatae kula honeyNambie mpenzi
Akirudi mwambie namsalimiahahahhahaa kaka basi yaishe mekosea mm
Kwa hiyo hapo umefrah enh bae?? Ngoja nijifanya kama sikuoni yan hata nikiona id ako nipite kama sjakuona hapo kama nitaweza sababu unanijua hun ntajitahidi iwe hivo tuepushe hizi misunderstanding ndogo ndogo lohgive me a soft slap beb
asante shemeji, umeokoa jahazi leo hata kula na mimi amekataa dada ako
kwakuwa sakayo hayupo uwe mama mchungaji sasaHauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.![]()
kwakuwa sakayo hayupo uwe mama mchungaji sasaHauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.![]()
Nilikijib lakini babeikawaje ukatae kula honey
unaweza ukaangalia ila usiyabebe yaache hapo hapo sweetieKwa hiyo hapo umefrah enh bae?? Ngoja nijifanya kama sikuoni yan hata nikiona id ako nipite kama sjakuona hapo kama nitaweza sababu unanijua hun ntajitahidi iwe hivo tuepushe hizi misunderstanding ndogo ndogo loh
Unajua udogo wake kadeka sana kwa mama sasa hivi deko kalihamishia kwako, mbembeleze tu atakuja kula nawe shemejigive me a soft slap beb
asante shemeji, umeokoa jahazi leo hata kula na mimi amekataa dada ako
si ndo umenijibu vile tena msgs 2 kwa msisitizoNilikijib lakini babe
Aaaah jamanikwakuwa sakayo hayupo uwe mama mchungaji sasa