Magimbi hayajawahi kumuacha mtu salama ??Anaumwa Nini? Au Maziwa![]()
Unakoseajee njia kwa mfano make ukikosea sana hata mdomoni poa tuKaaaah hivi nimekosea njia leo au miwan yangu inaukungu leo![]()
Nimekukosea nini lkn...basi nisamehe aiseeUnakoseajee njia kwa mfano make ukikosea sana hata mdomoni poa tu
Lakin mm sijasema uje nikupe magimbi ...yupo aliyesema ana magimbi leo na wewe leo ulikuwa na hamu nayoooNimekukosea nini lkn...basi nisamehe aisee
MhLakin mm sijasema uje nikupe magimbi ...yupo aliyesema ana magimbi leo na wewe leo ulikuwa na hamu nayooo
Au nmekosea wapiii kwa mfanoo
Hujakosea popoteAu nmekosea wapiii kwa mfanoo
Ndo nashangaaa ....Hujakosea popote
Naombeni link za Riwaya za Stevemoller
Muziki: Jumanne Baada ya Jumatatu
...hakuna ubishi kuwa hizi siku zinafuatana sana, hazipishani, yaani ukisikia leo ni Jumanne basi ujue kesho ni Jumatano na jana ilikuwa jumatatu. Ndivyo ilivyo na kama kawaida yangu kukusalimia wewe kapuku unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri sitaacha maana ni jambo zuri. Nikushukuru sana Iyegu kwa kulinogesha jukwaa kwa post tofauti, asante mdau na hata kina sisi watembea usiku, asubuhi tunakusoma bila shida.
Muziki sasa, wengi wetu tumeshatoka kwenye vibarua vyetu na kama sio foleni basi tumeshafika nyumbani na ikiwa wewe ni kama anko wangu Lyon Lee basi uko sehemu unachangia pato la taifa kwa kukaa pub ukigonga moja moja pembeni umepakata asiye wako, mjomba wangu huyu aachwe kama alivyo.
Si uende entertainment ukoNaombeni link za Riwaya za Stevemoller
....marhaba sunt, unaendeleaje sasa. Natumaini unajisikia vizuri maana nikiangalia maandishi yako tu naona umechangamka sanaBinamu shikamoo asante kwa music
Simulizi: Roho yake inadaiNaombeni link za Riwaya za Stevemoller