Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna wakati maisha hutufanya tusahu umhimu wa wengine

Tujitahidi kukumbukana



Maisha sio ni kama kivuli huwezi kukikimbia

Siasa ni kama ajira anae panga hatima yako ya kesho ni mwanasiasa

Anae jua ukweli daima ni nafsi yako Na mungu ndio shaidi wa kweli


Usiogope kuulizwa ogopa kukubali wakati unaumia

Usipongeze kwa kukuwa kafanya alie upande wako pongeza kwa kuwa alicho fanya kinasitahili kufanyika hivyo

Timiza wajibu wako na ndio udai haki yako

Ukiwa unaona madhaifu ya mwenzako usikosoe jitahidi kumkumbusha

Jiepushe kuwa adui

Jifunze kusamehe

Elewa kutubu kwako ndio faida yako

Jioni njema
kwa hakika mkuu

neno tamu sana hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom