Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Ametekwa na wakenya,sio mbaya tutaenda kumsalimia siku mojaHuku jf hakutaki harudi tena kabaki Kenya talk
Aje Tu Nitampa Mbinu Zote Muhimu Za Kuwananii Madenti 😀Huko simuelekezi binamu aisee we endelea tuu
Ametekwa na wakenya,sio mbaya tutaenda kumsalimia siku moja
Kazi imeanzaWoyoooooo![]()
Kama sio hapo basi yuko igoma
Hahahahaha mnoooSawa dadake maana baridi ya hapo ulipo inaonekana kiboko
Tusije kumpoteza binamu tunampenda sana we endelea tu mkuuAje Tu Nitampa Mbinu Zote Muhimu Za Kuwananii Madenti 😀
Au kituloKama sio hapo basi yuko igoma
Nitakutumia koti lile la bibi alilo liacha kipindi anamfuata babuHahahahaha mnooo
Unamkosesha Utamu 😀Tusije kumpoteza binamu tunampenda sana we endelea tu mkuu
Inawezekana maana hayo maeneo baridi yake utafikiri uko kwenye frijiAu kitulo
Sema kweli![]()
![]()
![]()
kwa hakika mkuuKuna wakati maisha hutufanya tusahu umhimu wa wengine
Tujitahidi kukumbukana
Maisha sio ni kama kivuli huwezi kukikimbia
Siasa ni kama ajira anae panga hatima yako ya kesho ni mwanasiasa
Anae jua ukweli daima ni nafsi yako Na mungu ndio shaidi wa kweli
Usiogope kuulizwa ogopa kukubali wakati unaumia
Usipongeze kwa kukuwa kafanya alie upande wako pongeza kwa kuwa alicho fanya kinasitahili kufanyika hivyo
Timiza wajibu wako na ndio udai haki yako
Ukiwa unaona madhaifu ya mwenzako usikosoe jitahidi kumkumbusha
Jiepushe kuwa adui
Jifunze kusamehe
Elewa kutubu kwako ndio faida yako
Jioni njema