Makapuku Forum

...sentensi inajichanganya, kama hujaingia kitambo humu utawaonaje. Au sijakuelewa, maana wikend kwangu huwa haidanganyi
. Namaanisha kwenye huu uzii ndo sijaingia. Buy hao watu nilikuwa naonana nao kwenye nyuzi zingine.
 
Reactions: Obe
Binamu mm kwenye majini siwajui ukitaka twende kanisani ikaombewe

...okay, nilisahau kuwa wewe mambo ya kienyeji hupendi. Sasa huko kanisani muombeaji akitaka na yeye simu kama yangu tunafanyaje? Ujue anaweza kuomba sadaka burebure tu.


Ila kama huwajui wenye majini maana yake hata limbwata wewe hutumii, utapata tabu sana, just saying

 
. Namaanisha kwenye huu uzii ndo sijaingia. Buy hao watu nilikuwa naonana nao kwenye nyuzi zingine.

...sasa nimekuelewa mdau, walichukua likizo ya bila malipo, watarudi hapa.
Ni jambo zuri umekuja hapa maana inapendeza kukuona hapa. pamoja sana
 
atapata tabu sanaa
 
Hiyo simu yako aina gani binamu mpaka mtumishi aitamani
 
Hiyo simu yako aina gani binamu mpaka mtumishi aitamani

...ni hizi mpya nzuri nzuri, Tecno Phantom 6, ina muziki mkali ukiweka loudspika hata spika za msikitini hazifui dafu. Ina rangi ya silver. laini mbili. Ukienda kuoga unaweza kuiweka karai na isizime

 
Tecno Phantom 6 ni toleo jipya eenh binamu
...ni hizi mpya nzuri nzuri, Tecno Phantom 6, ina muziki mkali ukiweka loudspika hata spika za msikitini hazifui dafu. Ina rangi ya silver. laini mbili. Ukienda kuoga unaweza kuiweka karai na isizime

 
Ndio mana nimeshangaa toleo la zamani kumbe mpya binamu kuimiliki kwako
...yeah, ni mpya kabisa, sio used. Ila kuna watu walisemaga waliionaga zamani, mimi sikuiona kwa hiyo ni mpya. Nimeinunua Kenya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…