Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,786
- 45,266
Nimecheka mpaka nimepaliwa mm nakuhakikishia tu anafika final
We muache...
England atakuwa mshindi wa 4
Transcend , huyu Shunie jana aliishiwa nguvu akalamba glucose lakini wapi.The only thing ilimpa nguvu ni lile goli la Brazil la dk za mwisho mwishoni.
Leo nnaona ametabasamu midomo inafika kwenye masikio 😀😀😀


