Makapuku Forum

Imani ni hakika ya usiyokuwa na hakika nayo. Ni imani yangu wote mko vizuri na ni jambo zuri Makapuku kuwa hewani tena.

Kuna jipya?
 
Yaan Obe Lyon Lee sijui yupi jamani na mbalizi1, shululu Bailly5


Binafsi nipo, nimepata leseni ya kuendesha bodaboda, hivyo siku JF ilipokuwa kifungoni was fanyaling mazoezi ya kuendesha.

Hujambo aunt yangu?

Makapuku wenzangu naimani maisha yanasonga.

Labda tu niwajulishe mjomba wangu Lyon Lee aliteguliwa mbavu baada ya kudanganya anaenda kuangalia wedikapu siku ya Ijumaa, aunt yangu si wa mchezo mchezo, kapata tabu sana
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…