Tumosa huyoHivi nani amenipa hicho cheoo
WatafuteeeKudai sadaka waumini wenyewe hawajaingia
HahahaMwenyewe
Aiseeee""".....Wacha nipige mlunzi kwanza........................."""" ... hiko cheo kinanifaa kabisa ..msinibadilishie aisee....
Hah hahaha "" mkuu hicho cheo nipatie haraqa aisee..."" Usibadilishe tafadhali...kila mmoja atapata tu cheo, kwa sasa wale ushers watakuwa ni anko wangu Lyon Lee huyu tutamuweka upande wa kuwakaribisha mabinti wa vyuo, usher omarion5 atakuwa upande wa kuwaelekeza waumini sehemu za mapumziko.
Halafu usher hearly yeye atakuwa na jukumu la kuwafunika kanga wale wadada wanaoshukiwa na pepo wakaanguka
Watafuteee
Aiseeee""".....Wacha nipige mlunzi kwanza........................."""" ... hiko cheo kinanifaa kabisa ..msinibadilishie aisee....
Hah hahaha "" mkuu hicho cheo nipatie haraqa aisee..."" Usibadilishe tafadhali
Hapa hapa shemela ww,Shululu na babu mtakuwa mashemasiLa hapa hapa mnazingua...
Nikafikiri lipo huko kwa kina mwakipesile.
Kufuguna ndo nnYeah, ila sasa isiwe ndio kufuguna.
We pepo ushindwe kanisani unamkatikia nani mauno
Njema sana.Safi za wewe shedede
Tunakuwa wabunifu banaaBinamukukatika tena hiyo band ya kwaya kanisani hakuna mauno jamani
...basi hapo sawa, nilianza kupatwa na mashaka maana mimi band inamtaka mtu kama Rose Muhando, mwepesi kiuno kinanyambulika kama anapoimba wimbo wa Mbella sio kigumu utasema Bahati Bukuku anaimba Dunia Haina Huruma
Ndo cheo cha Obe hchoHahahaa..
Yule mpeni kuwa mwalimu wa kwaya..hivyo vitu anavimudu.
binamu umemsahau kaka mndali
ShikamooAiseee