Makapuku Forum

Naamin mmeelewana
 
Sisi wengine tunajipendekeza kusoma sio..


...ha hahaha, ni kama mali ya umma, fikiria taa za barabarani/mitaani zimewekwa kwa ajili ya walipa kodi lakini hata wasiolipa kodi wanafaidika nazo ha ahaha, najua mfano haujakaa sawa lakini kuna uhalisia sababu mimi huwa nayaomba sasa na wasiyoyaomba wanayasoma
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…