makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,593
Naamin mmeelewana....kama nimekuelewa sawa sawa! Nadhani unaandika maneno kwenye link (maneno yako)
Unapaswa kuandika maneno na kama unatumia keyboard basi bonyeza enter ndo ubandike link.
Kuandika na maneno inawezekana kwenye pictures na gif (inasupport still pic na animated)
Naamini nimekuelewa
Yaani wewe na baraka, na juma, na hussein, na muuza genge na dereva bodaboda kila mmoja atajua kapendwa yeye.ThIs is bongo brother.
Mekumiss pia shemeji ynguNimekumisi shemela.
Kapata vtu vyake huyo c bureMke mwenzio sijui anaumwa nini leo aisee.
Mimi mzima wa afya ila nimekuwa mpweke hapa JF ndugu zangu mnapotea potea sana.Dah!! Mdogo wangu sikukujua.. Nitampa salam
Vipi lakini mzima wew!?
Sisi wengine tunajipendekeza kusoma sio..
Naamin mmeelewana
Na wale wenye koo dogo watawaonesha wanaume wenzie kuwa eti anapendwa!!Yaani wewe na baraka, na juma, na hussein, na muuza genge na dereva bodaboda kila mmoja atajua kapendwa yeye.
Tumsamehe tuuBure inamtesa huyo
Nashukuru shemelaMekumiss pia shemeji yngu
Tupo ndugu yangu ndio majukumu tuu!! Si mbaya wapo wengine sote ni ndugu.Mimi mzima wa afya ila nimekuwa mpweke hapa JF ndugu zangu mnapotea potea sana.
Mpiga puli kapotelea wapi?
Sisi wengine tunajipendekeza kusoma sio..