ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
AkaaaaUtataka tu jamani
AkaaaaUtataka tu jamani
Shindwa kwa jina la bwana
Nasi twakupenda zaidi kapuku muheshimika.Morning makapuku...
Nimesikipu mie, kama mlinisemesha sikuona
Nawapenda
Hujambo shemelaHujambo mdogo wngu
Kapuku muheshimiwaMarhaba shemeji, familia yako haijambo?
Bila shaka neno chale chale lilitoka kwa charlie chaplinNiaje Chaplin
Na akipata matako yatalia mbwataMtafutaji huwa hachoki na akichoka ujue kapata sio!
Safi za weweZa mchana ndugu
Hujakosea shunie akee!!Au nimekosea maka akee
Pouwa vpHahahahah
Tumoo mambo
Shemela za mchanaHahhaha hilo pepo unalo wewe inabidi ulikemee
Wap huko mke mweeeSimchokozi namwambia ukweli asuke au anyoe mambo za kapuku zinaishia kapuku sio kupiga kelele uko kila mtu aone
ninavyotaka mini c unajua banaKwahiyo unavyotaka wewe acha nikose hiyo amani ya moyo
We mtu mzima ukiambiwa uelewe nitakua sijibu quote zako pambana na hali yako sitaki hizo mamboninavyotaka mini c unajua bana
Chit chat hapa kwenye uzi unaohusu pm sijuiWap huko mke mweee