ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Yaan niliacha wazi pm karibia siku 4 kilichonichosha mpaka nikaifunga watu sijui wamejuaje kama pm ipo wazi mpaka machizi wa jf wananipm
Hizo emoj za kufunga jicho na kutoa ulimi jamani sizipendi mm








Habari za jioni wapendwa!!??
Sio watu wa jf ndugusi ndo vizuri kufahamiana nawatu jaman
Hivi hujioni eenhmimi huyuhuyu nimeharibika mwee
Teh teh teh!!! Sitaki kuaminHaha ndio na limemfit kabisa
Heeeee wanatoka wapiSio watu wa jf ndugu
Nashukuru mie si mmoja wapoNiliifungua nimeshaifunga leo kila mda pm tu nimechoka kujibu watu
Safi kama kwa mzee safi, vipi damu yangu!?Mambo niaje Budah.
Heeeee wanatoka wapi
We sio mmojawapo jamaniNashukuru mie si mmoja wapo
Yaan niliacha wazi pm karibia siku 4 kilichonichosha mpaka nikaifunga watu sijui wamejuaje kama pm ipo wazi mpaka machizi wa jf wananipm
Hizo emoj za kufunga jicho na kutoa ulimi jamani sizipendi mm

Sijion hata basi niombeage nirudi nilivyokuwa mwanzoHivi hujioni eenh
Hahahahaa ndo uamin tuuTeh teh teh!!! Sitaki kuamin
Wala sikuombei baki hivihiviSijion hata basi niombeage nirudi nilivyokuwa mwanzo
Niko nayo aisee ndio maana naipigia debeHapana shem jamani nimeuliza tu




Mfungo huu, au we huoni shunie akee!!
Music sasa naona binamu bado katekwa