Binamu umetambulishwa
Nisubirie twende woteNaenda taraweh
Hahahaaaa!!shostiiiii!!!mHahahaha
Mfyuuuuu, badoooo
Hv korosho ulishamletea
Mjumbe ni adui, na mchonganishi!Nimeqoute tu Jamani... Au mjumbe anauwawa siku hizi?
Nitumie mahela nikanunue kwanza maziwa ya azamNimesikia unapenda redibuli... Ntakununulia ili unipe mdogo wako
...nimeona binamu, kuna watu wana roho ya korosho, yaani kaona udj tu ndo natambulishwa wakati huwa hata naandikaga kabisa mambo mazuri. Au na wewe huwa huyaoni maana nakuangalia tu unavyogeuzageuza macho ukiwa unanisoma
HahahahaHahahaaaa!!shostiiiii!!!mpunguza mashauzi basi
Hakuna wakupeleka kule binamu
...nimeona binamu, kuna watu wana roho ya korosho, yaani kaona udj tu ndo natambulishwa wakati huwa hata naandikaga kabisa mambo mazuri. Au na wewe huwa huyaoni maana nakuangalia tu unavyogeuzageuza macho ukiwa unanisoma
Chini wapo binamu...alikataa, alisema ana allergy, akila zinampa muwasho chini
Ni kweli bestMadogo yana wenyewe!
...yaani kwa hili umenifanya nisimame na kusakata mayenu kidogo, nikashtua kidogo kama Diblo Dibala. Yaani ungekuwepo ningekupiga busu midomoni afu nikuache unajifuta kwa kinyaa maana nimekustukiza na nimekula nguru
Saaanabahiliii
Mzaramo na mashauzi wapi na wapi?!!Hahahaha
Naanzaje kupunguza, umesahau mie mzaramo