Makapuku Forum

Jamani ni makosa kusema alihifadhiwa, kwani wote wakihitajiana.
Nafikiri kateleza tu kwani kuna wakati alihojiwa akajibu hawezi kumwongelea Jide hadharani kwani
Jide ni public figure, nahisi alikuwa kalewa
Anayefanya kitu akiwa amelewa asilimia kubwa huwa kadhamiria kwamba nakunywa lakini flani atanikoma. Sidhani Kama gadner kaanza kunywa juzi mpaka pombe imtawale kiasi kile.
Ingependeza Kama angeishia pale mwanzo aliposema kuwa hana tatizo na huyu mtoto wa kike
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…