ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Hahahah kanambia akili za kuambiwa nichanganye na zanguKhaaaa jamani nilikosea wapi sasa
Hahahah kanambia akili za kuambiwa nichanganye na zanguKhaaaa jamani nilikosea wapi sasa
Ulivyojibu tu jamani nimecheka mmHahahaha unanicheka
Kwahiyo mm kosa langu n nn etiHahahah kanambia akili za kuambiwa nichanganye na zangu
hahaha sijui kaka mkubwa labda ajibu mwenyeweKwahiyo mm kosa langu n nn eti
Kwani ndugu we ni mtoto jamani mbona kwa Lee uliona havieleweki ukatokahahaha sijui kaka mkubwa labda ajibu mwenyewe
Kwani ndugu we ni mtoto jamani mbona kwa Lee uliona havieleweki ukatoka



ukiwa lastborn hata Kama mkubwa unatreatiwa kama mtoto so ananichunga mdogo ake
Haya chungwa mtotoukiwa lastborn hata Kama mkubwa unatreatiwa kama mtoto so ananichunga mdogo ake
![]()
Sawa toto zuri
A-a huko kwakina kaka ndo mtotoSawa toto zuri
Ooh kwahiyo huku kwetu mkubwa mwenzetu eenhA-a huko kwakina kaka ndo mtoto
Mimi sijambo kabisa. Wewe je? Siku nyingi hatujasalimiana. Huwa nakuangaliziaga shemeji kule upande mwingineHabari ya kwako msukuma




Yaan siku nyingi sana karibia mwaka msukuma jamani za wewe nilindie shemeji yako nakuaminia si unajua mambo za jf unamzindua kijana wako akishajulikana nyaku nyaku wanatokea jamani ukiona anataka kuibwa uingilie kati msukumaMimi sijambo kabisa. Wewe je? Siku nyingi hatujasalimiana. Huwa nakuangaliziaga shemeji kule upande mwingine![]()
Tena nikimtishiaga kuwa nitakuita uje kama siku ile ulipotia mguu kila mtu ikawa ndukiii basi anakuwa mpole sana. Ni mtu mzuri hana maneno na mtu tena mcheshi mno. Hongera !!!Yaan siku nyingi sana karibia mwaka msukuma jamani za wewe nilindie shemeji yako nakuaminia si unajua mambo za jf unamzindua kijana wako akishajulikana nyaku nyaku wanatokea jamani ukiona anataka kuibwa uingilie kati msukuma
ABJ alikywa anasema kwamba hamtaki tena Shamma ww ulimuambia ana mabebez wengiEti nimewakosea nn mm jamani mbona mnanitaja hivyo
Kwani ndugu we ni mtoto jamani mbona kwa Lee uliona havieleweki ukatoka

Asante msukuma jamani uwe unamtishia hivyo hivyo kwahiyo huko kwenu hakuna aliyemwiba jamani we ndio mlinzi wangu unilindie msukuma tumetoka mbali sanaTena nikimtishiaga kuwa nitakuita uje kama siku ile ulipotia mguu kila mtu ikawa ndukiii basi anakuwa mpole sana. Ni mtu mzuri hana maneno na mtu tena mcheshi mno. Hongera !!!
ShikamooMimi sijambo kabisa. Wewe je? Siku nyingi hatujasalimiana. Huwa nakuangaliziaga shemeji kule upande mwingine![]()
Ni kweli ndio shamma ako na mabebez wengi mpaka auntie yetu espy ni mbebez wakeABJ alikywa anasema kwamba hamtaki tena Shamma ww ulimuambia ana mabebez wengi
Hivi mbona hauji pm nitafunga mm