Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimeliona hili hapa Mwenge Hardwares
IMG-20170603-WA0003.jpg
 
Dr. Mwaka: Wanaume Wote ni Malaya na Wasaliti, Soma Hapa!

Mwanamke anaweza kuishi katika ndoa au mahusiano bila kucheat kwa asilimia 99 na wanaume wanaweza kuishi bila kucheat kwa asilimia 1 kwa sababu ni nature ya mwanaume kuwa hivyo.Kwahiyo ukiona mumeo au mpenzi wako hujamkamata inabidi umuheshimu saaana kwasababu anafanya kwa umakini na usiri wa hali ya juu ili asiumize hisia zako.wanaume wasiochet ni wale wagonjwa na makasisi wacha Mungu tu. Wengine wooote tupa kule.

Huu ndio ukweli mchungu kuhusu wanaume, Na ukweli unabaki palepale kuwa asilimia 99 ya wanaume wanatoka nje ya ndoa au mahusiano yao tena bila kuwa sababu ya msingi they just do haimaanishi kwa kufanya hivyo hawawapendi wake zao bali ni maumbile yao ndio yanawatuma hivyo. Kwahiyo kama umeolewa au una mpenzi ukimakamata na mwanamke mwingine usimhukumu kwa KUCHEAT bali mhukumu kwa KUCHEAT KIPUMBAVU mpaka akakamatwa wakati wenzake wanacheat na hawakamtwi.

najua kuna mikunguru minafiki itakuja hapa na kubisha ila ukweli ndio huo
- By Dr JJ MWAKA
 
Hapana mufti, si mtu, mara zote mie mtu hawezi kunisababishia hali ya sintofahamu..

Majanga tu ya kidunia.


....dhahabu safi inapita kwenye moto mkali sana. Picha nzuri husafishiwa gizani ( achana na hizi picha za digital) na kwa maana hii, kadri unavyopitia sintofahamu basi mbele kuna anga angavu pajini kwako
 
....dhahabu safi inapita kwenye moto mkali sana. Picha nzuri husafishiwa gizani ( achana na hizi picha za digital) na kwa maana hii, kadri unavyopitia sintofahamu basi mbele kuna anga angavu pajini kwako
Nami imani yangu inaamini hivyo kaka, japo kutetereka kwa imani ndio tabia ya imani.
 
Tafasiri Unavyoweza: Kosa Kusiasisha Elimu

Maendeleo katika jamii ya kidemokrasia yanahusiana sana na utashi wa kisiasa. siasa kama sayansi ya nani anapata nini wakati gani ni mfumo unaolenga kujenga jamii yenye kuheshimu na kukubaliana kutokubaliana katika mambo yanayolisukuma taifa mbele. Utashi wa kisiasa unapolenga maslahi ya binafsi na kujipendelea basi wengi wataumia. Utashi sahihi wa kisiasa kwenye elimu unafanya elimu kuwa bora kwa wote. Tunachokiona kwenye taifa letu kwa sasa ni tofauti, utashi wa kisiasa unaua elimu ya watoto wetu. Tafasiri unavyoweza.

Hivi karibuni kumekuwa na picha mbalimbali zinasambaa kweye makundi ya WhatsApp na mitandaoni kuhusu vitabu vya shule ya msingi vilivyokosewa na kujaa upotoshi mkubwa na mbaya zaidi vitabu hivi vipo mashuleni. Nikiwa kama mtu ambaye amewahi kushika chaki (sijawahi kusomea ualimu) na kujaribu kuondoa ujinga kwa wanafunzi, natambua kabisa mika ya nyuma mwalimu anatoka chuoni anajua anafundisha nini, ana kitabu cha kufundishia na kitabu cha mwongozo (kitabu cha majibu).

Bodi ya vifaa vya kielimu (EMAC) iliundwa na kupitisha vitabu vya kufundishia, lakini wabunge wetu wakaiua na kufanya soko holela na sasa tunaona vitabu wanavyopelekewa watoto wetu mashuleni havina ubora na vimejaa upotoshaji mkubwa. Hii ni hatari kwa afya ya taifa la leo, kesho na keshokutwa. Wabunge wengi hawajui wanafanya nini wanapoamua kuchezea elimu yetu, walipoharibu kwa azimio lao la mwaka 2013 (kuiua Emac kwa kuleta OAS-Open-ended Approval System) wakaanza kupiga kelele baada ya kuambiwa mnakosea na wakaja na TIE na bado tunaona tatizo kwenye vitabu. Elimu holela haisaidii taifa, wabunge tumieni akili na nafasi yenu kuifanya elimu yetu iwe bora na shindani kwenye dunia ya sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom