Makapuku Forum

Makapuku Forum

Davet kamwambia Tumosa huwa hasogei hapa hata kama aachwe pekee yake hadi Avatar yake inakuwa incon ya Makapuku forum[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


ha hahahhaha, ila kweli aisee, nilidhani mimi ndo mkazi wa muda hapa ila Tumosa katisha yaani hatoki hata akisikia Simba kashinda anabaki hapa hapa tu. Nimempenda sana kiukweli ha aahhaah
 
Muziki: Jumatatu ya Mshahara

Sichoki kukwambia kuwa uwepo wako wewe hapa unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo. Hapa tunafaidika na mengi sababu ya mchango wako unaokufanya wewe kuwa mtu maalum na ukipotea japo kidogo basi unatufanya wengi tukuhamu si kidogo. Ninakusalimia kapuku na leo ni mwisho wa mwezi. Kwa wale wapangaji ambao kodi zetu tunalipa kila mwezi mtakuwa mmeona mwenye nyumba anavyotabasamu kila mkikutana macho. Hongera kwa wewe ulieyejenga au unakaa kwenu. Pole kwako wewe uliyelipa kodi ya miezi sita au mwaka.

Muziki sasa, niseme tu ni jambo zuri kuwaona wadau Mwifwa , mbalizi1 , Davet , ABJ , moneytalk wakiwa hapa pamoja na sisi. Tunawafurahia sana, wakati wote hapa ni sehemu nzuri kuwepo.

Muziki sasa, hili ni chaguo lake aunt yangu mwenyewe Shunie , mke wa mujomba wangu kabisa na mtu pekee ambaye maneno yake mazuri yatanijengea heshima kwa BH (kwa wageni BH ndo mwanamke ambaye nimemfukuzi mwaka wa tatu huu, kiasi kwamba Makapuku kwenye sherehe za mwaka mpya walipendekeza nipewe PhD nikakataa hadi nimalize msimu huu wote. Burudika na muziki na sijui kwanini tarehe za mshahara sisi wengine kuna kiungo huwa kama kinajua mshahara umetoka, kutwa kusisimka hakiangalii hata kama hela ikiingia tu inapangiwa matumizi


 
Muziki: Jumatatu ya Mshahara

Sichoki kukwambia kuwa uwepo wako wewe hapa unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo. Hapa tunafaidika na mengi sababu ya mchango wako unaokufanya wewe kuwa mtu maalum na ukipotea japo kidogo basi unatufanya wengi tukuhamu si kidogo. Ninakusalimia kapuku na leo ni mwisho wa mwezi. Kwa wale wapangaji ambao kodi zetu tunalipa kila mwezi mtakuwa mmeona mwenye nyumba anavyotabasamu kila mkikutana macho. Hongera kwa wewe ulieyejenga au unakaa kwenu. Pole kwako wewe uliyelipa kodi ya miezi sita au mwaka.

Muziki sasa, niseme tu ni jambo zuri kuwaona wadau Mwifwa , mbalizi1 , Davet , ABJ , moneytalk wakiwa hapa pamoja na sisi. Tunawafurahia sana, wakati wote hapa ni sehemu nzuri kuwepo.

Muziki sasa, hili ni chaguo lake aunt yangu mwenyewe Shunie , mke wa mujomba wangu kabisa na mtu pekee ambaye maneno yake mazuri yatanijengea heshima kwa BH (kwa wageni BH ndo mwanamke ambaye nimemfukuzi mwaka wa tatu huu, kiasi kwamba Makapuku kwenye sherehe za mwaka mpya walipendekeza nipewe PhD nikakataa hadi nimalize msimu huu wote. Burudika na muziki na sijui kwanini tarehe za mshahara sisi wengine kuna kiungo huwa kama kinajua mshahara umetoka, kutwa kusisimka hakiangalii hata kama hela ikiingia tu inapangiwa matumizi


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu asante sana nimecheka sana hapo kwa kumfatilia mama angu
 
[emoji524][emoji433][emoji433][emoji1351]‍[emoji335] 10 Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.
1 Wakorintho 2 :10

11 Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.
1 Wakorintho 2 :11

12 Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.
1 Wakorintho 2 :12

13 Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

1 Wakorintho 2 :13


USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE FAMILY[emoji1317] [emoji7]
 
[emoji524][emoji433][emoji433][emoji1351]‍[emoji335] 10 Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.
1 Wakorintho 2 :10

11 Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.
1 Wakorintho 2 :11

12 Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.
1 Wakorintho 2 :12

13 Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

1 Wakorintho 2 :13


USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE FAMILY[emoji1317] [emoji7]
Asante mke mweee barikiwa
 
[emoji524][emoji433][emoji433][emoji1351]‍[emoji335] 10 Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.
1 Wakorintho 2 :10

11 Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.
1 Wakorintho 2 :11

12 Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.
1 Wakorintho 2 :12

13 Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

1 Wakorintho 2 :13


USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE FAMILY[emoji1317] [emoji7]


Asante aunt. Usiku mwema kwako
 
Back
Top Bottom