Woyoooooo ukirudi naweka magazeti asubuhi halafu binamu anapata shida sana kuhusu magazeti binamu kesho tunaanza binamu yangu huwa nakufikiria sana
Nitaanza kesho asubuhi binamu kuweka kwa ajiri yako...sure! Napata shida sana maana yakikosekana magazeti humu kkunapoa sana. Utafanya vema sana
Anko usijali nakutumia WhatsApp..hata nikinywa fanta passion?
Ooooh hongera sana binamu,kuhusu bday ya baba wawili mambo yalikuwa ni hivi[emoji91] [emoji91] [emoji91]Marhaba binamu, nipongeze, usinipe pole maana nilikuwa na wikend safi sana, tarehe za mshahara hizi. Mambo mengi yalikuwa sawa sijui kwenu na bday ya mumeo
Kweli kabisa nimemiss magazeti sana.Woyoooooo ukirudi naweka magazeti asubuhi halafu binamu anapata shida sana kuhusu magazeti binamu kesho tunaanza binamu yangu huwa nakufikiria sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante dadake ila naomba uwe mwenyeji wanguSawa kaka karibu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kesho naanza kuwekaKweli kabisa nimemiss magazeti sana.
Leo kidogo nijiingize mjini baada ya kuona Gazeti lina habari ambayo nilitaka niijue nikataka kulinunua maana sikuwa humu JF toka saa 2 asubuhi.
Wazo likanijia kuwa hii habari itakuwepo JF nikasema ngoja nitaenda kuitafuta JF.
Baada ya kuingia kabla sijaanza kuitafuta, nikaona uzi unakanusha ile habari niliyetaka kuifuatilia na kununua Gazeti lake, hadi hapo nikaokoa Buku yangu kwa sasa nitailia mihogo kesho asubuhi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itapendeza sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kesho naanza kuweka
Mm sijambo binamu yangu hofu kwako tu naomba uniwekee hiyo nyimbo yangu niliyochagua
Usijali kaka akee karibu sanaAsante dadake ila naomba uwe mwenyeji wangu
Jamani au jana nililewa mbona niliuona sehemu binamu...nimeingia youtube (ndo ambako ninatoa nyimbo nazobandika hapa) naona kipande kidogo kilichonyofolewa kwenye wimbo mzima (snippet) inawezekana hawajatoa ruhusu uchezwe Youtube.
Uliusikia wapi?
Asante dadake nashukuru kwa ukarimu wakoUsijali kaka akee karibu sana
Kweli kabisa nimemiss magazeti sana.
Leo kidogo nijiingize mjini baada ya kuona Gazeti lina habari ambayo nilitaka niijue nikataka kulinunua maana sikuwa humu JF toka saa 2 asubuhi.
Wazo likanijia kuwa hii habari itakuwepo JF nikasema ngoja nitaenda kuitafuta JF.
Baada ya kuingia kabla sijaanza kuitafuta, nikaona uzi unakanusha ile habari niliyetaka kuifuatilia na kununua Gazeti lake, hadi hapo nikaokoa Buku yangu kwa sasa nitailia mihogo kesho asubuhi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naomba basi goroka binamu ya jay melodyWatu huwa wanahoji kwanini Makapuku imedumu sana , sababu ni uwepo wa magazeti na sogozi tofauti tofauti. Napapenda hapa, sana tu
Jamani au jana nililewa mbona niliuona sehemu binamu
Mh...haukulewa aunt, tuliosimuliwa kuwa ulilewa hatukubisha hata walipokukutetea kuwa ulilewa kidogo tu
[emoji134] [emoji134] [emoji134] mke mweee njoo ujibie hapaHahah!! Wewe acha tu mkuu, msondo ngoma walivyoimba wanaume tumeumbwa mateso hawakukosea