Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,324
- 35,833
za leo njema sana mkuu,
japo tulipata shida sana kuacces kuingia hapa jukwaani hapo awali ila sahivi mambo yamekaa njema.
BTW siku ilikwendaje?
Siku ilikuwa nzuri, asante kwa kuuliza. Yeah kuliaccess jukwaa na JF ilikuwa ngumu sana hadi nilipoenda kufuatilia tweets zao ndo nikajua wameshafanyiwa yao