Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 9,982
- 34,476
Utwalino kikolo
...kikolo ya mbanda, hivi hiki ni kicongo au kikonongo?
Utwalino kikolo
Asante binamu naamini baba wawili na makapuku wote wataburudika kwa wimbo huu mzuriMuziki: Heko ya Kuzaliwa shululu
Nafurahi hujaandamana barabarani leo, ni jambo zuri kufanya kilicho sahihi kwako na ndiyo maana Tumosa aka mama JJ kaamua kumtunuku shululu wimbo mzuri siku ya kukumbuka kuzaliwa kwake. nami ninakusalimia kapuku na kukutakia wakati mzuri wakati ukitafakari siku ya Ijumaa itakavyokuwa.
Burudika na muziki na tumtakia Shululu heko ya kuzaliwa
nahisi ni kikonongo...kikolo ya mbanda, hivi hiki ni kicongo au kikonongo?
Za mm ni poa sana maka akeeZa mimi ni poa,sijui za wewe shunie akee.
Hivi mbebez wako yuko apiAsantee sana ankoo nimekaribia
Atarudi tu nyumbani apate zawadi yake ya bdayWoooozeee huko apiii sasa bday boy nimekutana nae mitaa ya kati huko
Ndio tatizo la kujikuta ww ni mjuvi wa kila jambo unahisi utaleta mambo ambayo yaishawahi kutimia katika mtindo mpya.. Jambo ambalo halipo na halitoweza kuwepo...falsafa hii. Asante.
Ravalomanana alikuwa na jeshi lililomlinda, akawazuia wananchi kufanya haki yao aliingia topeni
haya binamuTafasiri Unavyoweza: Maandamano Yamelipa
Hakuna ubishi kuwa leo maandamano yamefanyika, ndiyo yamefanyika tena kwa kiwango kikubwa sana. Maandamano haya unaweza kuyatafasiri unavyoweza nami nitakueleza kuwa wakati wewe ulikaa ndani leo polisi wengi kwa karibu wiki nzima hii walikuwa wakiandamana (wenyewe wakiita mazoezi) kumuunga mkono dada jasiri (hata kama hukubaliani na baadhi ya mbinu zake za kuwasilisha ujumbe) Mange Kimambi. Ukiwaacha polisi walioandamana kwa wingi sana, raia wengi walikuwa na ufahamu wa tukio la maandamano ya leo na kwa kuunga mkono maandamano haya waliandamana kifikra. Tafasiri unavyoweza.
Ujumbe umetumwa na umefika kikamilifu, ni bahati mbaya sana kuona rais na serikali inayojinasibu kufanya mambo mazuri inakuwa katika nafasi ya kujihami zaidi kuliko kujitokeza nje na kusikiliza yale ambayo yanasemwa kuwa haifanyi. Haki ya kujieleza kama ilivyo haki ya kuandamano na mikutano ni kitu kilichokubaliwa ndani ya katiba, si hisani ya rais, au chama kilichoko madarakani. Ni ushamba mkubwa kudhani kuwa mtu mmoja au kikundi cha kisiasa kinaweza kuamua tofauti na katiba. Ni suala la muda tu, bubu atasema kwa kupaza sauti na hapo ndo walioshika madaraka watapazwa kwa kasi ya kobe, waugulie maumivu kwa kila hatua. Sio utabiri huu ninaoandika, naandika utafasiri unavyoweza.
Asanteni sana jeshi la polisi kwa kuandamano na kumfanya Mange na hoja zake ziwe na mashiko, bahati mbaya sana wakati mnaandamana hakukuwa na chombo kingine cha kuwazuia kuandamana
Lete khabari bibie..Za mm ni poa sana maka akee
Haha yupo tunapeana zamu sahizi ni zamu yanguHivi mbebez wako yuko api
Nilivokumiss shemela Obe hakukupa salamu zangu alipokuja jukwaa la chini kuleKapuku kapukuz
Hongera sana binamu...niko poa sana binamu, nipe pole nimemaliza maandamano yangu kwa amani kabisa, nilikuwa nawalinda polisi walioamua kuandamana bila kibali
AbeeeeShemela!!
Pale mlinzi anapolindwa....niko poa sana binamu, nipe pole nimemaliza maandamano yangu kwa amani kabisa, nilikuwa nawalinda polisi walioamua kuandamana bila kibali
hivi ulishindwa hata kumuanzishia thread chit chat ebu kaanzishe hukoAtarudi tu nyumbani apate zawadi yake ya bday
Tununu karibu tulipoMma tununu mwe twamasiku
Nipo tu nakusikiliza maka akeeLete khabari bibie..
Hahahhhaa sawa sawaHaha yupo tunapeana zamu sahizi ni zamu yangu
Nilimpa mmNilivokumiss shemela Obe hakukupa salamu zangu alipokuja jukwaa la chini kule