makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,013
- 80,647
Naona umenipiga dongo shemela...lile jukwaa huwa nashinda sana kule kusoma tu ila sina ruhusa ya kuchangia, bado sijaruhusiwa hata kidogo
Naona umenipiga dongo shemela...lile jukwaa huwa nashinda sana kule kusoma tu ila sina ruhusa ya kuchangia, bado sijaruhusiwa hata kidogo
Cjambo shemela hbr ya kutekwaHujambo weye
Me moreee jamani maka akee naona Heineken zangu zimesepa na kijiji kila siku ahadiNimekuhamu shunie akee..
...huwa unaenda jukwaa la chini? Unatumia jina gani nika-like?
we tumosa kaweke thread chit chat ya bday ya mumeoMimi nitaibeba mgongoni kabisa si kuisogeza tuu
Mie nilikuwa nawatizama tu...ha ahhahahaha
Hepisabeli kwakee jaman..Atarudi tu nyumbani apate zawadi yake ya bday
Si wa anko wako mdogo...kumbe ana mbebez, nilijua yuko singo!
Hhmm.. Hapana shemeji, mie sijatekwa.Cjambo shemela hbr ya kutekwa
Mfyuuuuu shululu sio wa kumfanyia hivyo kabisaHapahapa panatosha mke mweee
Watu wana roho mbaya kweliLa hasha!! Sikupata shemela.
Wewe ndio hutaki kuja kuzibeba.. Tufanye weekend hii..Me moreee jamani maka akee naona Heineken zangu zimesepa na kijiji kila siku ahadi
Wa kukuteka hajazaliwa badoHhmm.. Hapana shemeji, mie sijatekwa.
Nahisi anamuwish chumbani.we tumosa kaweke thread chit chat ya bday ya mumeo
Jamani kwani lazima nikuje tigo pesa si ipo maka akeeWewe ndio hutaki kuja kuzibeba.. Tufanye weekend hii..
Jina hili hili nitumie jina lingine kumwogopa nani
Ahahaa hapana ankoo...kumbe ana mbebez, nilijua yuko singo!
hata me naonaNahisi anamuwish chumbani.
...ningeshangaa kwa kweli. basi nikienda huko tena nitapitia nyuzi zako nione kama kuna ufundi, maana kuna mtu anaweza asiwe fundi kwenye yote, machejo hadi kuandika. Yaani ukurasa wa mahaba anaandika maneno yamesismama kama moja badala ayaumbeumbe kama nane msomaji apate burrdani
Niliwaagiza wanaoingia huko jukwaa la chini wakiongozwa na ObeAahhh!! Sawa ww ulinipa ila yeye kasema obe.