Makapuku Forum

Makapuku Forum

"Stress" msongo wa mawazo ni shida yetu sana , ila usifanye stress ikakufanya udhalilike,usifanye stress ikakufanya udharaurike,isikufanye stress ukaonekana kituko, jitahid kujicontrol na kumuomba Mungu sana

Hakuna asie vurugwa ila jitambue wee ni nani kabla hujaruhusu huo mtibuko mbele za watu, umekataliwa ,umeachwa bas unapita kila mtu unamuadithia unalia kila kukicha,jaman ukiwa sawa hutopenda hayo maaisha, unastress za kazi basi jitahidi kutafuta njia ya kufikisha huo msongo wako, chagua hata unaemuamini muelezee upunguze machungu ila usifanye stress ikakufanya kituko
 
"Stress" msongo wa mawazo ni shida yetu sana , ila usifanye stress ikakufanya udhalilike,usifanye stress ikakufanya udharaurike,isikufanye stress ukaonekana kituko, jitahid kujicontrol na kumuomba Mungu sana

Hakuna asie vurugwa ila jitambue wee ni nani kabla hujaruhusu huo mtibuko mbele za watu, umekataliwa ,umeachwa bas unapita kila mtu unamuadithia unalia kila kukicha,jaman ukiwa sawa hutopenda hayo maaisha, unastress za kazi basi jitahidi kutafuta njia ya kufikisha huo msongo wako, chagua hata unaemuamini muelezee upunguze machungu ila usifanye stress ikakufanya kituko
Ahsante Shunie
 
"Stress" msongo wa mawazo ni shida yetu sana , ila usifanye stress ikakufanya udhalilike,usifanye stress ikakufanya udharaurike,isikufanye stress ukaonekana kituko, jitahid kujicontrol na kumuomba Mungu sana

Hakuna asie vurugwa ila jitambue wee ni nani kabla hujaruhusu huo mtibuko mbele za watu, umekataliwa ,umeachwa bas unapita kila mtu unamuadithia unalia kila kukicha,jaman ukiwa sawa hutopenda hayo maaisha, unastress za kazi basi jitahidi kutafuta njia ya kufikisha huo msongo wako, chagua hata unaemuamini muelezee upunguze machungu ila usifanye stress ikakufanya kituko
Ntafutie jirani yangu alipo nimmwagie stress zangu.
 
"Stress" msongo wa mawazo ni shida yetu sana , ila usifanye stress ikakufanya udhalilike,usifanye stress ikakufanya udharaurike,isikufanye stress ukaonekana kituko, jitahid kujicontrol na kumuomba Mungu sana

Hakuna asie vurugwa ila jitambue wee ni nani kabla hujaruhusu huo mtibuko mbele za watu, umekataliwa ,umeachwa bas unapita kila mtu unamuadithia unalia kila kukicha,jaman ukiwa sawa hutopenda hayo maaisha, unastress za kazi basi jitahidi kutafuta njia ya kufikisha huo msongo wako, chagua hata unaemuamini muelezee upunguze machungu ila usifanye stress ikakufanya kituko


...kuongezea tu katika makala yako nzuri ni kuwa msongo ukizidi huleta sonono (depression) na tatizo la woga/kutojiamini (anxiety) na ikifikia hapo basi kuna mengi yasiyo mazuri yanakukaribia. Asante kwa kutupia makala hii
 
...kuongezea tu katika makala yako nzuri ni kuwa msongo ukizidi huleta sonono (depression) na tatizo la woga/kutojiamini (anxiety) na ikifikia hapo basi kuna mengi yasiyo mazuri yanakukaribia. Asante kwa kutupia makala hii
Asante sana binamu
 
Back
Top Bottom