omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,687
habari yangu nzuri sana,Salama habari ya kwako
hope baba D yupo njema?
habari yangu nzuri sana,Salama habari ya kwako
Shikamoo binamu,leo ni barukutu day eeeehMuziki: Ijumaa na Wikend Njema
Ninakusalimia sana mdau wa ukweli, nikupongeze kwa kuifikia Ijumaa ya leo ambayo ni mwanzo wa weekend. Inawezekana una mipango mingi sana ya kibinafsi, basi ipange ipangike na maisha yaendelee. Binafsi nina mambo yangu ya binafsi tofauti kabisa na yako.
Muziki, sitaongea mengi sana maana wikend ni mwendo wa kinywaji, mishikaki na kukaa kimwili zaidi
Shikamoo binamu,leo ni barukutu day eeeeh
Kila la kheri binamu ukumbuke tu kurudi nyumbani ucjetekwa na akina mama muuza...yeah, nilidhani umesahau binamu. Leo ni mwendo wa bakulutu na moja moto moja baridi baadaye unarudi jikoni kupambana na mvua
Kila la kheri binamu ukumbuke tu kurudi nyumbani ucjetekwa na akina mama muuza
Shikamoo binamu...ha hahha, siwezi kutekwa sema itabidi nikaonane na mama muuza mmoja nikamweleweshe kkuhusu upotevu wa tilioni 1.5, kama nikimaliza mapema basi itakuwa ni jumapili. Nitaenda kufanya ufafanuzi na huku nikidadavua ripoti yote
Tunashukuru karibu tenaHabari za wakati huu hapa mkoani? Napita tu kusalimia
Binamu santeeMuziki: Wiki Yenye Tabasamu
Sitaandika kitu kingine nikishamaliza kukusalimia kapuku mwenzangu, nitakuacha uburudike na muziki kama ilivyo kawaida ya kipengele hiki
Safi mkuu karibuHabari za wakati huu hapa mkoani? Napita tu kusalimia
Binamu santee
Asante mkuu.. Namna tunavyopita kwenye majukwaa kama haya baada ya kupata matokea ya kule Mbeya [emoji16] [emoji16]Safi mkuu karibu
Sanaa binamu namshkuru Mungu sijui kwa upande wako vipi anko wako anaendeleaje...karibu aunt yangu. Natumaini ulikuwa na wikend nzuri
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Asante mkuu.. Namna tunavyopita kwenye majukwaa kama haya baada ya kupata matokea ya kule Mbeya [emoji16] [emoji16]