Mke
Binamu obe Mungu akupe nini nasikia mvua ilikukuta gest mpaka leo simu haipatikani ...muhimu wababadilishie mashuka
Abeeh
We mvua huko ulipo haipo eenhPoleni na mvua
Sina nimuhogoa imiUtaogoha?
Itoke wapiiiiWe mvua huko ulipo haipo eenh
Kwani haupo darItoke wapiiii
Nafanya nini etiiiKwani haupo dar
MhNafanya nini etiii
Binamu bwana ...umesahau smm yako niliyokutumia mapema ukachanganyikiwa View attachment 747945
Kwani haupo dar
Huyu ndo binamu kabisa mtoto wa ndugu yanguTafasiri Unavyoweza: Jamii Hojaji Haifi Hata Ukinyamaza Wewe
CAG kamaliza uhakiki wake na tuliyoyasikia tumeyasikia. Makusanyo yamekaa vizuri, matumizi yamejaa 'wino damu' (walimu huwa wanatumia kalamu ya wino mwekundu kuonesha kilichowatatiza), matumizi makubwa tu ya serikali hayana vielelezo, kiufupi kama hutaki kujisumbua na utabaki kuwa mkweli ni kuwa mpunga mrefu sana umepigwa na wajanja na siku zote tunamjua mkuu wa serikali ni nani, na kwa maana hiyo mlaji aliyekula hizi hela huhitaji kujifikiria sana au kupoteza muda kuchunguza nani kazipiga hizi hela. Tafasiri unavyoweza.
Ni bahati mbaya sana kama taifa kuna mambo tunayapuuza, kiukweli tumekuwa ni taifa la wapuuzi. Hatuhoji na hata wanaojitokeza kuhoji tunawapuuza na wakati mwingine tunaenda mabli zaidi kwa kuwapa majina ili tupate sababu ya kuwapiga risasi au kuwabambikizia kesi na kuwatesa. Kuhoji ni kutaka kujua, hakuna furaha ya kuwa mjinga au mpuuzi, anayepuuza atapuuziwa na ukikaa kimya usijedhani uko salama.
Tunakoelekea tutafika tu, kujidai kuwa hawa ni bora zaidi ya hawa itatoa majibu muda si mrefu pale watoto wanaozaliwa leo wenye akili za nyoka, wajanja, wanaohoji wanaojua kusoma kabla ya kuingia darasani watakapokaa vifua wazi kuhoji kwanini kuna madhamani tumewaamini kulinda kibubu tunachokichangia lakini wanajiona wao wana haki ya kula na kutudhihaki wote wenye midomo iliyopauka kwa njaa ya kukosa huduma muhimu za msingi tunazostahili kama wana wa nchi hii. Tafasiri unavyoweza
Kama mbwai iwe mbwaiii binamu nimejipangaaa...leta nileteeee ulichomfanyia wa tangi bovu...hapa anko ndo unaharibu ujue hii ilikuwa siri yetu sisi ndugu. Sasa mimi nikileta ile picha inayosambaa kwenye whatsaap ikimuonesha yule dada uliyempangishia chumba na bado kaenda kutaka matunzo Ilala boma
Binamu nakusalimia sana na nina mazito yakoo moyonii...kakimbia, anasubiri hili joto na mvua la kufuatilia watelekezaji ili watekeleze majukumu yao mahususi liishe. Yaani pale kwa RC kulikuwa na watoto kama idadi timu ya basketiboli. Nilipokuwa nikiwaangalia tu macho yao tu nikajua anko wangu kwanini siku hizi anavaa miwani myeusi
Mguno vipiiii
Hongera zake sana...kakimbia, anasubiri hili joto na mvua la kufuatilia watelekezaji ili watekeleze majukumu yao mahususi liishe. Yaani pale kwa RC kulikuwa na watoto kama idadi timu ya basketiboli. Nilipokuwa nikiwaangalia tu macho yao tu nikajua anko wangu kwanini siku hizi anavaa miwani myeusi
MhMguno vipiiii
Hongera zake sana