Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante aunt Shunie kwa magazeti, nimemaliza kuyasoma, si unajua kawaida yangu kusoma wa mwisho. Pole na kadhia ya mod kukubania siasani.

Anko Lyon Lee nashukuru salamu zako nimezipata na nitakupa mrejesho ukitoka Kampala


Kama kawaida i jambo zuri kukuona mtaasisi mwenzangu Nyagei , Tumosa , makaveli10 mopao mukulu muzee ya senegali, Transcend

Wakija watu wa masjala waulizieni kina Tetramelyz mutu yake na moneytalk na kwanini mzeewakungoa anakuja kimagutumagutu kama ilivyo kwa shululu
 
Tafasiri Unavyoweza: Usitoe Busara Kama Husikilizi

...kuna mkutano mkubwa unaendelea huko Kigali, ni masuala ya kibiashara, ushuru na vitu kama hivyo. Lengo ikiwa ni kuondoa vikwazo vinavyofanya biashara ndani ya Africa kukumbwa na changamoto toka kwa nchi na nchi. Wakuu kadhaa wamehudhuria na wengine kuwakilishwa na viongozi mbalimbali na wengine wamekataa kuhudhuria hadi pale watakaposikiliza wafanyabiashara ndani ya nchi zao ndo waweze kuhudhuria mapatano ya aina hii. hizi ndizo busara tunazopaswa kuziona kwa viongozi wetu. Tafasiri unavyoweza.

Kazi ya kiongozi ni kuongoza, na si kutawala. Mtawala hasikilizi, anajiona anajua yote na wewe mtawaliwa huna chochote unachoweza kuchangia katika kuyafanya maisha ya taifa kuwa yenye kumnufaisha kila mmoja. Mtawala siku zote atafanya kila analoweza kuhakikisha kuwa mawazo yake ndo yanatangulia mawazo yako.

Waangalie wabunge, hawa ni wawakilishi wa wananchi majimboni, ni mara ngapi wameitisha mikutano ili kusikiliza mawazo yako wakayawasilishe bungeni (indirect democracy). Narudia tena kusema, busara ni kusikiliza, usijione una busara za wote kwa sababu tu umekaa kwenye kiti na umezungukwa na vyombo vya dola iwe kwa nafasi yoyote.

Busara za kiongozi zinakuja baada ya kuwa amesikiliza anaowaongoza wanasemaje, kuheshimu wanayosema hata kama hakubaliani nanyo maana kukubaliana kupo kwenye kutokubaliana na kutengeneza maamuzi yanayokubaliwa na wengi na wala si maamuzi ya kiimla ambapo wote wanaoonesha kutokubaliana awe unawasakizia mbwa. tafasiri unavyoweza
 
Muziki: Machi ya Kumatchisha

Umeamka na umekuwa na siku nzuri na sasa ni usiku. Hili halina ubishi na hata kama nimeanza kuandika bila kukupa Hi haimaanisha sitambui uwepo wako wewe kapuku unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo. najua tunatembelea maeneo tofauti lakini mwisho wa siku wote tunakutana hapa na kugonga tano na kusmile, ndo zetu sisi watu wa kujitambua.

Muziki sasa, kesho ni Jumatano kama ulikuwa hujui nakukumbusha tu na wala usijipe kazi ya kuniambia asante kisa tu nimekukkumbusha kuhusu siku yako ya kesho.

 
Muziki: Machi ya Kumatchisha

Umeamka na umekuwa na siku nzuri na sasa ni usiku. Hili halina ubishi na hata kama nimeanza kuandika bila kukupa Hi haimaanisha sitambui uwepo wako wewe kapuku unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo. najua tunatembelea maeneo tofauti lakini mwisho wa siku wote tunakutana hapa na kugonga tano na kusmile, ndo zetu sisi watu wa kujitambua.

Muziki sasa, kesho ni Jumatano kama ulikuwa hujui nakukumbusha tu na wala usijipe kazi ya kuniambia asante kisa tu nimekukkumbusha kuhusu siku yako ya kesho.

Binamu asante sana
 
Asante aunt Shunie kwa magazeti, nimemaliza kuyasoma, si unajua kawaida yangu kusoma wa mwisho. Pole na kadhia ya mod kukubania siasani.

Anko Lyon Lee nashukuru salamu zako nimezipata na nitakupa mrejesho ukitoka Kampala


Kama kawaida i jambo zuri kukuona mtaasisi mwenzangu Nyagei , Tumosa , makaveli10 mopao mukulu muzee ya senegali, Transcend

Wakija watu wa masjala waulizieni kina Tetramelyz mutu yake na moneytalk na kwanini mzeewakungoa anakuja kimagutumagutu kama ilivyo kwa shululu
Mopao
 
Tafasiri Unavyoweza: Usitoe Busara Kama Husikilizi

...kuna mkutano mkubwa unaendelea huko Kigali, ni masuala ya kibiashara, ushuru na vitu kama hivyo. Lengo ikiwa ni kuondoa vikwazo vinavyofanya biashara ndani ya Africa kukumbwa na changamoto toka kwa nchi na nchi. Wakuu kadhaa wamehudhuria na wengine kuwakilishwa na viongozi mbalimbali na wengine wamekataa kuhudhuria hadi pale watakaposikiliza wafanyabiashara ndani ya nchi zao ndo waweze kuhudhuria mapatano ya aina hii. hizi ndizo busara tunazopaswa kuziona kwa viongozi wetu. Tafasiri unavyoweza.

Kazi ya kiongozi ni kuongoza, na si kutawala. Mtawala hasikilizi, anajiona anajua yote na wewe mtawaliwa huna chochote unachoweza kuchangia katika kuyafanya maisha ya taifa kuwa yenye kumnufaisha kila mmoja. Mtawala siku zote atafanya kila analoweza kuhakikisha kuwa mawazo yake ndo yanatangulia mawazo yako.

Waangalie wabunge, hawa ni wawakilishi wa wananchi majimboni, ni mara ngapi wameitisha mikutano ili kusikiliza mawazo yako wakayawasilishe bungeni (indirect democracy). Narudia tena kusema, busara ni kusikiliza, usijione una busara za wote kwa sababu tu umekaa kwenye kiti na umezungukwa na vyombo vya dola iwe kwa nafasi yoyote.

Busara za kiongozi zinakuja baada ya kuwa amesikiliza anaowaongoza wanasemaje, kuheshimu wanayosema hata kama hakubaliani nanyo maana kukubaliana kupo kwenye kutokubaliana na kutengeneza maamuzi yanayokubaliwa na wengi na wala si maamuzi ya kiimla ambapo wote wanaoonesha kutokubaliana awe unawasakizia mbwa. tafasiri unavyoweza
Sawa kaka
 
Back
Top Bottom