Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,011
- 31,798
Unaruhusiwa kutafsiriNi lazima nitafsiri au sio lazima?
Unaruhusiwa kutafsiriNi lazima nitafsiri au sio lazima?
Hahaaa... Sasa kipi kikichokuchekesha mlimbwende wewNimecheka [emoji3][emoji3]
Sawa mwalimuToka KF inaanza
Wwshenz tu hawa, kama hawatak tuwe huru wafunge mdubwasha wao, tutafungua zetu[emoji34] [emoji34]Ya kwanza nilicomment thread za maandamano wakanipa ya siku moja wakaniambia mods hawapendi kusikia habari za maandamano ya pili kuna thread iliwekwa siasani kuhusu jamii forum ya sasa sio kama ya zamani hakuna uhuru wa kuongea nikacomment jf ya sasa inabidi tukae kimya eenh nikapewa ban ya siku mbili eti nazuia watu kutoa michango yao nazuiaje mm
Atakulaa ban mpaka afunguee mwenyeweWatu wanataka gigy money ye hatak[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anataka mbunyeee huyoooHakuna hata pm inayoingia namchuniaje sasa hawataki nifike jukwaa la siasa nikicomment tu kwenye thread lazima nile ban niliwauliza tu kama hamtaki nifike jukwaa la siasa mniambie sitafika nitashinda zangu jukwaa la wakubwa mana mtu anakupa ban vitu havina hata maana nikawaambia naona na huyu mod atakuwa mgeni ameamua kujifunzia ban kwangu kunifatilia kila ninachofanya
Huyuu nayeee falaaaa kabisaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ya kwanza nilicomment thread za maandamano wakanipa ya siku moja wakaniambia mods hawapendi kusikia habari za maandamano ya pili kuna thread iliwekwa siasani kuhusu jamii forum ya sasa sio kama ya zamani hakuna uhuru wa kuongea nikacomment jf ya sasa inabidi tukae kimya eenh nikapewa ban ya siku mbili eti nazuia watu kutoa michango yao nazuiaje mm
[emoji120][emoji120]Ahsante kwa magazeti mama D
Hata sijui nani ambae yupo salamaMmmh, nani yuko salama huko?
Atakuwa amevutiwa nawe hivyo hataki uende kule
Watu wanataka gigy money ye hatak[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Atakulaa ban mpaka afunguee mwenyewe
Aseme sasa anachotaka kuliko ban anazonipaAnataka mbunyeee huyooo
Huyuu nayeee falaaaa kabisaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnapoelekea mtanipa ban mm nyie wala hamtaguswa jamaniWwshenz tu hawa, kama hawatak tuwe huru wafunge mdubwasha wao, tutafungua zetu[emoji34] [emoji34]
Itakuwa umeonewaMnapoelekea mtanipa ban mm nyie wala hamtaguswa jamani
Tatzo hata akisema hutompa[emoji23] [emoji34]Aseme sasa anachotaka kuliko ban anazonipa
Domo zegee huyooo alafu mbona huo uzii wa maandamano nilikuwepo ...au siku hizi kila mtu ana mod wake mfano wako hataki uende huko wasije kumnyanganyaAseme sasa anachotaka kuliko ban anazonipa
Ye ampe tu, kwan tatzo liko wap atampa kisir sisi hata hatutojua[emoji23] [emoji23]Atakulaa ban mpaka afunguee mwenyewe
Kwenye kutokujuaa hapo jifanye umetelezaa...mm ntamfataaYe ampe tu, kwan tatzo liko wap atampa kisir sisi hata hatutojua[emoji23] [emoji23]
Hata tukijua, katoa chake bhana, kwani ni yetu!![emoji23] [emoji23]Kwenye kutokujuaa hapo jifanye umetelezaa...mm ntamfataa
Weee hilo zigooo languu kabisaaa yaaan ata usingiziniiii niko nalooooHata tukijua, katoa chake bhana, kwani ni yetu!![emoji23] [emoji23]
Hata hizo ninazopewa si ninaonewa yaan ban ya pili ya siku mbili iliniuma sana mpaka nimewaandikia thread watu wameongea sana kuwa nilionewa wanakuja kufuta comments baadae na uzi ukafutwa mbona thread nyingine za malalamiko huwa wanakuja kwa nini yangu hawajaja wamekuja kufutaItakuwa umeonewa
Hahaa, kwani umeoa babu, muache mod nae apate kidonchoWeee hilo zigooo languu kabisaaa yaaan ata usingiziniiii niko naloooo